Thursday, March 14, 2013
BADO SHILINGI MILIONI 251 KUSHINDANIWA KATIKA PROMOSHENI YA MAHELA YA VODACOM
Thursday, March 14, 2013 by Unknown
Meneja wa Mahusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kulia)akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)juu ya Promosheni ya MAHELA wakati wa kuchezesha droo ya kuwapata washindi wa shilingi milioni moja moja ambapo washindi tisa walipatikana hivi leo,kupitia promosheni hiyo,wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Ofisa wa Bodi ya Kubahatisha nchini Bw.Humudi Hussein na Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael.
Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael(katikati)pamoja na Meneja wa Mahusiano wa kampuni hiyo,Bw. Matina Nkurlu, wakimpigia mmoja wa washindi wa promosheni ya Mahela aliejishindia shilingi Milioni moja, kushoto ni ofisa wa Bodi ya Kubahatisha nchini Bw.Humudi Hussein, bado shilingi Milioni 251 zinaendelea kushindaniwa katika promosheni hiyo.
Ofisa wa Bodi ya Kubahatisha nchini Bw.Humudi Hussein kushoto akiandika jina la mmoja wa washindi waliojinyakulia shilingi milioni mojamoja kati ya washindi tisa kupitia promosheni ya MAHELA inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,katikati ni Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Benjamin Michael,pamoja na Meneja wa Mahusiano wa kampuni hiyo,Bw. Matina Nkurlu.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “BADO SHILINGI MILIONI 251 KUSHINDANIWA KATIKA PROMOSHENI YA MAHELA YA VODACOM”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.