habari mpya
Showing posts with label celebrities. Show all posts
Showing posts with label celebrities. Show all posts

Sunday, April 13, 2014

TAZAMA PICHA 11 KUTOKA NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE GURUMO DAR USIKU HUU.

Sunday, April 13, 2014 - by Unknown · - 0 Comments








Maandalizi ya mazishi ya Mwanamuziki Mkongwe Muhidin Gurumo bado yanafanywa na familiamillardayo.com imefika nyumbani kwa marehemu na kuongea na mtoto wa kwanza wa marehemu Abdallah Muhidin Gurumo.

Abdallah amesema mpaka sasa kama familia wameamua mazishi yafanyike Jumanne ya
April 15 kijiji alichotoka marehemu Gurumo,Masaki wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani saa 4 asubuhi.

Hizi ni baadhi ya picha hizo.










 
Credit: millardayo.com
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKOTOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Sunday, March 30, 2014

OOOH NOO....POMBE SI CHAI...MASKINI MR NICE ACHEZEA KICHAPO CHA AIBUU BAADA YA KUMSARANDIA DEMU WA WATU...! HABARI KAMILI SOMA NA TAZAMA PCHAZ HAPA

Sunday, March 30, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



 
Ooh! Noo! Mwanzilishi wa staili ya Takeu kwenye Bongo Fleva, Nice Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ amebondwa kwa mara nyingine na kusababishiwa majeraha makubwa mwilini, Ijumaa Wikienda lina kisa cha kusikitisha.
Habari za uhakika zilieleza kwamba tukio hilo lilijiri maeneo ya Sinza Afrika-Sana, Dar katika Klabu ya Ambiance.


Mwanzilishi wa staili ya Takeu kwenye Bongo Fleva, Nice Lucas Mkenda ‘Mr Nice’. Kikizungumza na Ijumaa Wikienda, chanzo makini cha habari ambacho kilishuhudia tukio hilo, kilisema kuwa Nice alikuwa








maeneo hayo akifanya yake katika kipengele cha moja moto na moja baridi, ndipo akaanza kumshobokea demu wa jamaa aliyekuwa meza ya jirani.


Shuhuda huyo alidai kwamba baada ya Nice kukolea maji, alianza kumsarandia mwanamke huyo aliyekuwa na midume kadhaa wakifanya yao.

Hata hivyo, ilisemekana kwamba Nice alitaka kutumia ustaa wake kunyang’anya demu ndipo mwenye mwanamke wake akahisi kudhalilishwa.

Ilidaiwa kuwa kilichofuata ni kwamba yule jamaa akishirikiana na washkaji zake walimshushia Nice kipigo cha shetani hadi akapoteza fahamu kisha wakaingia mitini.

“Aisee jamaa walimpa kipigo cha hatari utadhani wanaua mwizi kisha wakatimua zao.

“Ndipo watu wakaanza kumpa msaada lakini alikuwa tayari ameumizwa vibaya.

“Kiukweli jamaa walidhamiria vibaya, sijui walitaka kumuua maana hadi watu wanashtuka tayari Nice alikuwa nyang’anyang’a kwa kipigo hicho cha kutisha.

“Kilichofuata ilikuwa ni kukimbizwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar kwa ajili ya matibabu,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kupata taarifa hizo, Ijumaa Wikienda lilifika hospitalini hapo ili kutaka kujihakikishia kile kisemwacho ambapo wanahabari wetu waliambiwa kuwa mtu huyo yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) hivyo haruhusiwi mtu kuingia.

“Ni kweli Nice yupo hapa hospitalini ameletwa akiwa hajitambui,


ameumizwa vibaya mno hivyo vuta subira kidogo aendelee kupewa matibabu, akipelekwa wodini utaenda kumuona,” alisikika nesi mmoja.


Pamoja na ugumu huo, wanahabari wetu hawakukata tamaa ambapo walijipenyeza ‘kimafia’ hadi hadi ndani ambapo walimkuta Nice amelazwa, hali yake ikiwa ni ya kusikitisha mno.

“Kaka wamenipiga sana, nimeumizwa bila hata sababu yoyote, sijui kosa langu ni nini, hapa nilipo nina maumivu makali kila sehemu ya kiungo cha mwili wangu, kila nikifikiria sijui nimewakosea nini wale jamaa,” alisema Nice kwa taabu.

Hata hivyo, kabla ya kukimbizwa hospitali alipitishwa katika Kituo cha Kijitonyama maarufu kwa jina la Mabatini na kupewa RB yenye namba KJN/RB/2698/014- SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI.
Si mara ya kwanza kwa Nice kupigwa na kutolewa ngeu kwani miaka kadhaa iliyopita aliwahi kubondwa mara mbili hadi watu wakahisi amekata kamba (amekufa) kisha akapigwa picha za aibu.

HATIMAE LUPITA AONYESHA CHUP ALIYOVAA WAKATI AKIPOKEA TUZO YA OSCARS, TAZAMA PICHA HAPA

- by Unknown · - 0 Comments



 
Lupita’s sense of humor is refreshing and it is exciting to keep tabs on her because you never know what to expect. One moment she is super elegant, the next she is humble in an acceptance speech with an inspiring quote






and then she gets mischievous.
From photobombing her new friends in Hollywood, and ‘wrestling’ for her Oscar with Jennifer Lawrence, Lupita took to social media to show the world the panties she wore on the night she won an Oscar.
Captioned: #tbt#sparkly#scratchy Everything That Glitters For The Gold #UnderTheOscarDress

UTATA MTUPU...LADY JAY DEE ASEMAMAZITO HAYA: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA...!SOMA ZAIDI HAPA...

- by Unknown · - 0 Comments



 
Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide katika pozi na mume wake Gardner Habash ‘Kapteini’ .Kumbe! Super woman katika Afro-Pop, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydeee au Jide amefunguka kuwa yeye na mumewe, Gardner Habash ‘Kapteini’ kwa sasa wanaishi kama kaka na dada hivyo kuibua swali kivipi?


Akizungumza na Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye mgahawa wa staa huyo wa Nyumbani Lounge uliopo Ada Estate, Kinondoni jijini Dar mwishoni mwa wiki iliyopita, Jide alisema







kuwa yeye na Gardner wamefikia hatua ya kuishi katika staili hiyo kutokana na mapenzi yao yaliyopitiliza.


“Gardner ananipenda sana na mimi pia vilevile nampenda sana mume wangu. Mapenzi yetu yamepitiliza hadi tunajiona kama vile tumezaliwa tumbo moja na ndiyo maana nawaambia kuwa mimi na yeye tunaishi kama kaka na dada,” alifunguka Jide.
Akiendelea kuzungumza kwa kujiamini, Jide alisema kuwa hadi simu ya mkononi wanatumia moja kwa






ajili ya mawasiliano.


“Mimi hapa sina simu, anayo mume wangu lakini wakati mwingine nakuwa nayo mimi ila muda mwingi anakuwa nayo Gardner,” alimalizia Jide.
Kwa makala zaidi kuhusu usichokijua juu ya maisha ya Jide, nenda kurasa za nane na tisa za gazeti hili.

WOLPER GAMBE NA PENNY WAPIGA PICHAZ ZA MSHTUKO NA UTATA, KANA KWAMBA NI WATU WALIO JI KWICHI KWICHI WAO KWA WAO,,,YAANI NI KIMAHABA ZAID...JIONEE HAPA

- by Unknown · - 0 Comments



It was last nyt, kwa wale wanaemjua wolper na penny nazani watakuwa wameelewa kilichofata ni nii baada ya kupombeka, hebu check na picha hiyo chini






,

Picha hii imekaa kimahaba zaidi, na ukiangalia hapo hhahah hakuna kubisha it seems wolper mzee wa gambe na peny walishawaka sana, kama ulikuwa hujui hao wote ni ma x gal freind wa staa diamond the platnumz bas safi, I think they have great nyt last nyt, hala to them keep in touch.

ANGALIA PICHA YA DIAMOND THE PLATNUMZ AKIWA KWENYE NDEGE ON HIS WAY NIGERIA LAGOS,,TAZAM HAPA

- by Unknown · - 0 Comments



 
Kushoto na presidaa the diamond platnumz they use to call him sukari ya warembo, akiwa na babutale wakiwa kwenye ndege wakielekea nchini nigeria lagos






kwa ajili ya msanii diamond kwenda kufanya ngoma yake mpya, guys tukae mkao wa kula for the coming new music and video of diamond the platnumz, na pia tuwatakie safari njema na warudi salama amin

CHAMELEONE ANYANG'ANYWA GARI AINA YA ESCALADE KWA KUSHINDWA KULIPA KODI

- by Unknown · - 0 Comments




 
Jose Chameleone amenyang’anywa gari yake aina ya Escalade na maofisa wa URA baada ya mamlaka hiyo kudai kwamba msanii huyo ameshindwa kulipa kodi yenye thamani ya shilingi milioni saba ya Uganda.
Muda mchache kabla ya kuanza kwa onyesho kubwa la Tubonge la msanii huyo, maofisa wa URA waliikamata gari yake hiyo ya kifahari.
Kwa mujibu wa mtandao wa Redpapper wa nchini Uganda,msanii huyo alijaribu kuwakatalia wasikuchukue gari lake akidai atakufa na mtu atakayeichukua lakini kauli hiyo haikufua dafu kwa mamlaka hiyo. “Hii ni gari yangu binafsi na nina haki yake, mtu yeyote akigusa Escalade yangu, nami tufe pamoja naye,” alidai Chameleone.

Hata hivyo Chameleone alidai kuwa hana tatizo lolote kulipa kodi lakini mamlaka hiyo haikutolea vigezo walivyotumia kupata jumla ya shilingi milioni 7 za Uganda ambazo ndizo pesa wanazomdai

Saturday, March 29, 2014

STEVE NYERERE ADAIWA KUWA MNAFIKI KUWAPATANISHA UWOYA NA WOPLER HUKU AKIWA NA BEEF NA BATULI, BATULI AFUNGUKA LIVE.

Saturday, March 29, 2014 - by Unknown · - 0 Comments





Batuli
Steve Nyerere ambaye ni muigizaji wa filamu Swahiliwood na pia mwenyekiti wa kundi la Bongo Movie anadaiwa kuwa mnafiki kuwapatanisha Jackline Wolper na Irene Uwoya ambao walikuwa kwenye beef la muda mrefu huku yeye mwenyewe akidaiwa kuwa kinara wa kuanzisha mabifu yasiyokuwa na kichwa wala miguu na wasanii wenzake akiwemo Yobnesh Yusuph "Batuli". Chanzo kimoja kikizungumza na Swahiliworldplanet kilisema kuwa " Steve Nyerere ni mnafiki kupitia uongozi wa kundi lao la Bongomovie, anajidai kuwapatanisha Wolper na Uwoya huku akiwa kwenye bifu la kijinga na Batuli, ni mtu wa mabifu yasio na maana na wasanii wenzake, tunaomjua tunamdharau tu" kilisema chanzo hicho ambacho kipo ndani ya tasnia ya filamu nchini na pia ndani ya kundi la Bongo Movie.


Baada ya kurushiwa habari hizo ilibidi kumtafuta Batuli ambaye anatamba katika filamu, Batuli alikubali kuwa hayuko kweney maelewano mazuri na Steve huku akidai Steve ndiye chanzo cha bifu aliloliita la kijinga.
"Ni kweli mimi na Steve Nyerere hatuna maelewano mazuri kwa sasa kiisa ni cha kijinga sana, Steve alinipigia simu akinipa taarifa ya kuwa kanipanga kwenye movie yake ambayo kawashirikisha Bongo movie wengi sana, ambapo alidai ya kuwa hata malipo atayafanya baada ya kuuza movie hiyo nikakubali kwa sababu kwanza ni msanii mwenzangu, pili movie ndio kazi yangu, basi baada ya siku kadhaa Steve akanipigia simu akaniambia niende nika-shoot nakumbuka ilikuwa mchana nikashangaa sana kwa sababu kabla mtu haja-shoot huwa kuna maandalizi ambayo mhusika anatakiwa kuyafanya ambayo ni kwanza aijue story ya movie anayoenda kuicheza, baada ya kuijua story anaenda kuandaa nguo, viatu na vinginevyo vinavyotakiwa kutokana na story au script inavyosema"

Star huyo anayesika kwa urembo aliendelea kwa kusema " Nikamuuliza Steve mbona bofya<<<<hapa>>>>> kumalizia kusoma story hii.SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKOTOA MAONI YAKO HAPA CHINI

kweli chamellione anapendwa sana:: Mashabiki wavumilia mvua kubwa iliyonyesha kuangalia show yake...pichaz zote za tukio check hapa

- by Unknown · - 0 Comments




Mashabiki wa Jose Chameleone wamethibitisha kuwa mvua haiwezi kuwakwamisha kushuhudia na kufurahia show yake ya Tubonge Live iliyofanyika Ijumaa jijini Kampala.

Pamoja na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha wakati show ikiendelea, mashabiki hao wa Uganda hawakukimbia kwenda kutafuta sehemu ya kujikinga na mvua bali walikubali kuloana na mvua hiyo ili tu waushuhudie moto wake.



“As God blessed us with a rain shower we kept moving!!!! I am so happy and want to thank all my friends who endured the rain for me the TUBONGE PRIDE is yours may God bless you all. I love you all. We made HISTORY,” ameandia nyota huyo kwenye ukurasa wa Facebook.


HATIMAYE AGNESS MASOGANGE AMUANIKA SWEAT LOVE WAKE HADHARANI KWEUPEEEE

- by Unknown · - 0 Comments




SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA "HATUITAMBUI BONGO MOVIE UNITY YA STEVE NYERERE"

- by Unknown · - 0 Comments



Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania(TAFF) Simon Mwakifwamba amedai shirikisho lake haliwatambui wasanii wanaounda kundi la Bongo Movie Unity na kudai kuwa kundi hilo linaundwa na watu sita tu huku wengine wakifuata mkumbo.

Akizungumza na Global Publishers, Mwakifwamba ambaye pia ni muigizaji wa muda mrefu na muongozaji wa filamu amesema hawatambui wasanii hao na anawashauri wajiunge ili watambulike. “Bifu la nini? Mimi ni baba, wao ni watoto. Kwanza sikia… wale sio wanachama wangu.Nawashauri wajiunge kwenye vyama vyangu ili niwatambue kama sehemu ya shirikisho,” alisema.

“Unajua wale wanaongozwa na ustaa. Wanaamini ustaa upo juu ya sheria, sio kweli. Mimi naamini katika uelewa na uwezo.Isitoshe mtu wa kwanza aliyetoa wazo la Bongo Muvi ni mimi. Nakumbuka nilikuwa mimi, Dude (Kulwa Kikumba), William na Ruge Mutahaba, tukaunda Bongo Muvi ili tucheze mechi na Bongo Fleva kwa ajili ya kuchangisha fedha za waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto. Tulifanikiwa sana. Hapo sasa walafi wachache wakalazimisha wasanii waende Mwanza wakacheze mechi nyingine ili wapate fedha, nikakataa hilo wazo, ndiyo mwanzo wa kutengana nao. Niwaambie tu Watanzania, chombo mama cha wasanii wa filamu nchini ni TAFF, si vinginevyo,” aliongeza.

“Kwanza Bongo Muvi si chama kama wengi wanavyofikiri, ni kampuni na ina wamiliki wake tisa, hao wengine wanafuata mkumbo kwa sababu hawajitambui. Kama wanabisha, waonyeshe usajili wao wa Basata, maana chombo pekee kinachosajili kazi za wasanii ni Basata.”

Hata hivyo Bongo5 imejaribu kumtafuta mwenyekiti wa BMU, Steve Nyerere kuzungumzia kauli hiyo, lakini amekuwa hapokei simu.
-Bongo5

MSANII LADY GAGA AZIDI KUONESHA UJINGA WAKE, SASA AVAA MAVAZI YA AJABU AJABU, HILO JINGINE NI AIBU TUPU SEHEMU ZOTE WAZI BILA CHENGA PALE KWENYE UTAMU PAMEZIBWA NA ZIPU BASI, JIONEE HAPA

- by Unknown · - 0 Comments





 
Lady Gaga stepped out not in one, but 3 outrageous outfits on Friday in New York. She first stepped out in the blue outfit with a lampshade headpiece





, then the outfit with the judges-style wig and later at night in a revealing body suit. I thought she was over this phase?






SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

HII NDIYO PICHA YA RAPPER KANYE WEST INAYOZUA UTATA MKUBWA DUNIANI, KUWA KANYE SIO BINADAMU WA KAWAIDA..ICHEKI HAPA

- by Unknown · - 0 Comments



Wiki iliyopita jarida la Vogue lilitoa picha ya jarada la jarida hilo na kuwaonesha Kanye West na Kim Kardashian wakiwa wamepoz kama watu wanaosubiri kufunga ndoa muda mfupi ujao au wanatoka kwenye tukio la ndoa.

Lakini baada ya kuanza kutolewa kwa picha za ndani za jarida hilo ambazo zinaionesha familia nzima ya bwana Kanye West, picha moja ilizua utata mkubwa hasa kwenye mitandao ya kijamii ambapo wengi walihoji kama kweli Kanye ni mtu wa kawaida ama ni ‘vampire’.



Kitu kilichopelekea kuzuka






kwa swali hilo, ni picha inayomuonesha Kanye West akitumia iPad kuwapiga picha Kim Kardashian na mtoto wao North West huku Kim Kardashian nae akijipiga picha (selfie), lakini nyuma ya Kim Kardashian na North inaonekana kuna ukuta wenye kioo.


Utata: Ingawa Kanye West anaonekana kutazamana na kioo kile, taswira yake haionekani kwenye kioo hicho na ndipo wengi walipohoji uhalisia wa kile wanachokiona kama kweli jamaa ni binadamu wa kawaida.



Shouldn’t….shouldn’t Kanye West be in the mirror? Alitweet Katherin Mirror na kuambatanisha na picha hiyo.

Mtu mwingine alionesha kushangazwa zaidi na kudai kuwa picha hiyo itafundishwa kama kozi kwenye masomo ya uandishi wa habari miaka 100 ijayo.

“This photo is going to be taught in every media studies course of the next 100 years.” Alitweet Mett Novak.


Source:YAHOO.COM VIA BONGO61

AMA KWELI BEYB MADAHA MNAFIKI SANA SIJUI UNAKUBALIANA NA MIMI?.... ETI SIJAWAHI MVULIA NGUO MPENZI WANGU....BABY MADAHA AFUNGUKA...!SOMA ZAIDI HAPA...!

- by Unknown · - 0 Comments



STAA wa filamu Bongo, Baby Madaha amesema tangu aanzishe uhusiano wa kimapenzi na meneja wake, Joe Kariuki hajawahi kukutana naye kimwili.


 
Staa wa filamu Bongo, Baby Madaha

lina muda wake, haina haja ya kukurupuka.“Umri umeenda lazima niwe mtu mwenye msimamo si kila mwanaume nitayekuwa naye nitamvulia nguo, nitafanya hivyo muda ukifika,” alisema Baby Madaha.

LULU ASHAMBULIWA INSTAGRAM KWA KUCOPY NA KUPASTE KUTOKA KWA RIHANA, JIONEE MWENYEWE HAPA

- by Unknown · - 0 Comments




 
Masaa machache tu baada ya lulu kupost mwonekano wa mbele wa jarida la VIBE utavyoonekana, Watu wengi wameanza kumshambulia kwa kuiga pozi la Rihana alilotumia katika Jarida GQ mwaka jana. WEngi wamelalamika na kusema kua amejishusha sana na uchafua sifa ya gazei hilo kwa kucopy na kupaste.

Baada ya taarifa hizo kumfikia lulu alikua na haya ya kusema. "Doh naona imekuwa TOPIC ila sishangai Nina hiyo damu ya kufanya kitu na kikawa gumzoooo...!nadhani kitu kimoja watu hamuelewi Ku Copy na Ku Paste

huko mnakosema nyinyi cdhani Kama mnakuelewa...!hapa kilichofanana ni idea only not otherwise...!n ofcoz dunia tunayoishi hakuna kitu kipya ni vitu vile vile ila vinafanyika kwa namna ya tofauti....majadiliano hayakuwa mabaya coz ndo inamaanisha habari imefika vilivyo....nimejaribu kuiweka clear mana watu mpk vidole vinakaribia kupata sugu kwa kuandika comment hehehe...!tuachane na hayo ila dada @badgalriri dah nimekukimbiza kwa mbali heheheh.... @badgalriri @badgalriri @badgalriri @badgalriri @badgalriri @badgalriri ��������nione basi������....haya namalizia Kama bdo hutaki kukubaliana na maelezo yangu njia hii apa������������������������������������������������������������������Haina mafuriko,madimbwi wala foleni....kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!��Nawapenda lkn��"
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

WANAUME KIBAO WAMGOMBELEZEA NA KUMTAMAN SANA SHILOLE SIKU YA BIRYHDAY YA BONGO MOVIE KWA JINSI ALIVO PENDEZA,UMBIKA NA SWAGGS ZAKE..TAZAMA PICHA HAPA JAPO ULE KWA MACHO

- by Unknown · - 0 Comments



Shilole katika picha ya pozi kwenye zulia jekundu 


 
‘red carpet’.
Shamsa Ford akihojiwa kwenye zulia jekundu.

Steve Nyerere akikata keki.
Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwa wasanii wa Kundi la Bongo Movie Unity waliokuwa wakisherehekea kundi hilo kutimiza miaka mitatu tangu lilipoanzishwa.
Sherehe za kumbukumbu hiyo zilifanyika kwenye Ukumbi wa Arcade, Mikocheni jijini Dar ambapo wasanii walianza kwa 



kupiga picha kwenye zulia jekundu ‘red carpet’ na watu kibao waliohudhuria.
Kwa upande wa burudani ya muziki, wanamuziki Linex, Amini, Pendo wa Maisha Plus, Shilole, Bendi ya Fm Academia na Bendi ya BM walitoa burudani ya aina yake na kusababisha ukumbi wote kulipuka kwa shangwe.

Friday, March 28, 2014

D'BANJ AKANUSHA FUNUNU KUWA HAYUPO TENA KWENYE LABEL YA KANYE WEST..GOOD MUSIC

Friday, March 28, 2014 - by Unknown · - 0 Comments




 
D’banj amekanusha fununu kuwa hayupo tena chini ya label ya Kanye WestG.O.O.D Music. Tetesi hizo zilianza mwezi uliopita baada ya staa huyo wa Nigeria kufuta ‘G.O.O.D Music’ kwenye biography ya Twitter na hivyo kuamsha fununu kuwa hayupo tena kwenye label hiyo.

Hata hivyo D’banj amesisitiza kuwa yeye na Kanye bado ni watu wa karibu kwenye biashara.

“Me and Ye (Kanye) are cool; the last time we spoke we talked generally about my career and what his visions are. He is still my mentor, he is still the one I go to when I need something,” D’banj alimuambia mtangazaji wa Uingereza Tim Westwood.

Koko Master pia alisema kuwa yeye na Kanye West wamepanga kufanya video ya wimbo wao are ‘Scape Goat’. “We are still working together. ‘Scape Goat’ is still in the working and we are still trying to work on the video. We just want to get everything right because we have done so much music together,” alisema.
-Bongo5

SINTAH KUINGIA JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA MWAKA HUU ....MWEEE!

- by Unknown · - 0 Comments

Baada ya Sinta Kupost Instagram akimshukuru Boss Lady Zari wa Uganda na watu kuanza kuanza kusema anajipendekeza na kuwa hana hadhi ya Zari Sintah aliamua kuwajibu hao baadhi ya watu kupitia Blog yake na katika majibu hayo amegusia kuwa subiri tumuone kwenye Jumba la Big Brother Africa ..na Kwamba alimwambia Zari See you Soon akiwa na maana wataonana kwenye Jumba Hilo.....Jisomeee hapo chini Mwenyewe na Ujumlishe na Kutoa kama ndio hivyo navyohisi mimi.....


 
"Kadiri ninavyokuwa ninaamini adui ya mwanamke ni mwanamke aisee,ila kuna kaboy kamoja sijui ni kenyewe ama kametumika kama chambo hapo sasa hawa ndio wanaanzia utotoni ku comment ujinga hivyo, daah jana i had a long talk wit Zee over the phone, of course was down she was trynaa to cheer me up, hee nikajisikia tu kumuweka kama my friend ona akili nyingine za wasiojielewa zilipotokea ooh huwezi kufanana kama yeye kwani nilikuwa najifananisha? ooh kwakuwa tajiri kwahio matajiri hawana marafiki na je atazikwa na mali zake? mnamkuza dada wa watu wala hana shauwo kihivyo mwenye nacho anacho tu, sio wale wakipata matako hulia mbwata......

yaani watu wengine mnataka tuwanike whatever we do in Social Media my dear some of us, went to school and learn Ethics in Diplomacy, hapa nimeandika coz naingiza hela nilikwambia nitukane IG,fb, Twitter siwezi kukujibu hapa nipo kama sintah na kule nipo kama Christine John Manongi

kama unaona nafaidi angekuita wewe Ug n you know what i never slept in the hotel nimeishi kwao na wazazi wake of course is not something to be proud of ndio maana nilinyamaza

sasa wewe unaeonekana kituko maana baada ya kuona ule upuuzi ambao mlio comment auone dada wa watu aliniuliza whats wrong with Tanzanians? maana anakijua kiswahili fika nikamwambia those are small minds pipo they think i benefit alot from you
sasa wewe unayeyaona maisha yake kwenye IG subiri na mimi unione ktk jumba lile la Big bro soon SA, ndio maana nilimwambia see you soon, take note ..... Cheers ukipata maumivu meza Hedex

kwa kifupi mmejichoresha mlio comment utumbo kawaona hamna akili kweli eti najigonga angekuwa anakupigia wewe simu basi unatamani sana lolest " SINTAH

RIHANA ATEMBEZA KICHAPO KWA JAMAA ALIYEMSHIKA MAKALIO BILA HIARI YAKE,CHEKI PICHA HAPA

- by Unknown · - 0 Comments




 

                                      Hii ni Fundisho kwa Wanaume woote






wanaopenda kuwasumbua wanawake waliona mvuto na Majumbile ya kuvutia, Mtoto wa Ki Barbdadian Mrembo Rihana ameweza kuwawakilisha wanawake wasiopenda udhalilishaji wa namna hii kwa Kumtandika Makofi Mwanaume aliyejitokeza kumshika Makalio Kwa nyuma.

BASI UNAAMBIWA HI INDO PICHA YA SIKU YA KWANZA DIAMOND PLATNUMZ ANAKUTANA NA WEMA SEPETU. ICHEKI HAPA

- by Unknown · - 0 Comments






Pamoja na yote waliyopitia bado kalamu za Waandishi mbalimbali zilihusika kuwaandika.
Ommy Dimpoz ambae ni rafiki wa Diamond kitambo hata kabla hatawa staa (Ommy)


ameshea hii picha inayowaonyesha Wema na Diamond walipokutana kwa mara ya kwanza na kuiambatanisha na hii caption hapa chini.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI