Tuesday, March 19, 2013
RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA TEHAMA LA CHUO CHA VETA KIPAWA
Tuesday, March 19, 2013 by Unknown
Rais Jakaya Kikwete akibonyeza kitufe wakati wa uzinduzi wa Chuo cha Tehama cha VETA Kipawa jijini Dar es Salaam jana. Kushoto Bolozi wa Korea, Young-Hoon. Kulia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Shukuru Kawambwa.
Rais Jakaya Kikwete akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Chuo cha Tehama cha VETA Kipawa jijini Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Balozi wa Korea, Young-Hoon na kulia ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Shukuru Kawambwa.
Rais Jakaya Kikwete akimwagilia maji mti baada ya kuzindua
Chuo cha Tehama cha VETA Kipawa jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja.
Baadhi ya vifaa vinavyotumiwa kufundishia wanafunzi.
Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Zebadia Moshi akimuonesha Rais Jakaya Kikwete mashine za kisasa zinazotumiwa chuoni hapo.
Mwalimu wa Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Veta Kipawa, Adrian Aloyce akimpa maelezo Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.
Mwalimu wa Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Veta Kipawa, Adrian Aloyce akimpa maelezo Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA TEHAMA LA CHUO CHA VETA KIPAWA ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.