Sunday, April 13, 2014
TAZAMA PICHA 11 KUTOKA NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE GURUMO DAR USIKU HUU.
Sunday, April 13, 2014 by Unknown

Maandalizi ya mazishi ya Mwanamuziki Mkongwe Muhidin Gurumo bado yanafanywa na familiamillardayo.com imefika nyumbani kwa marehemu na kuongea na mtoto wa kwanza wa marehemu Abdallah Muhidin Gurumo.
Abdallah amesema mpaka sasa kama familia wameamua mazishi yafanyike Jumanne ya
April 15 kijiji alichotoka marehemu Gurumo,Masaki wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani saa 4 asubuhi.
Hizi ni baadhi ya picha hizo.










Credit: millardayo.com
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKOTOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Tags:
celebrities ,
kitaifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
- TAZAMA PICHA 11 KUTOKA NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE GURUMO DAR USIKU HUU.
- OOOH NOO....POMBE SI CHAI...MASKINI MR NICE ACHEZEA KICHAPO CHA AIBUU BAADA YA KUMSARANDIA DEMU WA WATU...! HABARI KAMILI SOMA NA TAZAMA PCHAZ HAPA
- HATIMAE LUPITA AONYESHA CHUP ALIYOVAA WAKATI AKIPOKEA TUZO YA OSCARS, TAZAMA PICHA HAPA
- UTATA MTUPU...LADY JAY DEE ASEMAMAZITO HAYA: MIMI NA GARDNER TUNAISHI KAMA KAKA NA DADA...!SOMA ZAIDI HAPA...
- WOLPER GAMBE NA PENNY WAPIGA PICHAZ ZA MSHTUKO NA UTATA, KANA KWAMBA NI WATU WALIO JI KWICHI KWICHI WAO KWA WAO,,,YAANI NI KIMAHABA ZAID...JIONEE HAPA
- BREAKING NEWS : MLIPUKO MKUBWA UNAOZANIWA NI BOMU WATOKEA ARUSHA. SOMA HAPA
- ANGALIA PICHA MBALI MBALI ZA MATUKIO YA MAFURIKO YA JIJINI DAR YALIVYO SASA
- POLICE MURDER AL SHABAAB TERRORISTS WHO KILLED 6 AND LEFT A BULLET IN BABY SATRIN'S BRAIN
- MAFURIKO YATIKISA JIJI LA DAR..HALI NI MBAYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “TAZAMA PICHA 11 KUTOKA NYUMBANI KWA MAREHEMU MZEE GURUMO DAR USIKU HUU.”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.