Home
» celebrities
» WANAUME KIBAO WAMGOMBELEZEA NA KUMTAMAN SANA SHILOLE SIKU YA BIRYHDAY YA BONGO MOVIE KWA JINSI ALIVO PENDEZA,UMBIKA NA SWAGGS ZAKE..TAZAMA PICHA HAPA JAPO ULE KWA MACHO
Saturday, March 29, 2014
WANAUME KIBAO WAMGOMBELEZEA NA KUMTAMAN SANA SHILOLE SIKU YA BIRYHDAY YA BONGO MOVIE KWA JINSI ALIVO PENDEZA,UMBIKA NA SWAGGS ZAKE..TAZAMA PICHA HAPA JAPO ULE KWA MACHO
Saturday, March 29, 2014 by Unknown
Shilole katika picha ya pozi kwenye zulia jekundu
‘red carpet’.
Jana ilikuwa ni siku ya furaha kwa wasanii wa Kundi la Bongo Movie Unity waliokuwa wakisherehekea kundi hilo kutimiza miaka mitatu tangu lilipoanzishwa.
Sherehe za kumbukumbu hiyo zilifanyika kwenye Ukumbi wa Arcade, Mikocheni jijini Dar ambapo wasanii walianza kwa
kupiga picha kwenye zulia jekundu ‘red carpet’ na watu kibao waliohudhuria.
Kwa upande wa burudani ya muziki, wanamuziki Linex, Amini, Pendo wa Maisha Plus, Shilole, Bendi ya Fm Academia na Bendi ya BM walitoa burudani ya aina yake na kusababisha ukumbi wote kulipuka kwa shangwe.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “WANAUME KIBAO WAMGOMBELEZEA NA KUMTAMAN SANA SHILOLE SIKU YA BIRYHDAY YA BONGO MOVIE KWA JINSI ALIVO PENDEZA,UMBIKA NA SWAGGS ZAKE..TAZAMA PICHA HAPA JAPO ULE KWA MACHO”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.