Home
» siasa
» Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Tanzania Bara Julius Mtatiro Waunguruma Jimbo la Temeke
Tuesday, March 12, 2013
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Tanzania Bara Julius Mtatiro Waunguruma Jimbo la Temeke
Tuesday, March 12, 2013 by Unknown
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, Jimbo la Temeke
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Tanzania Bara Julius Mtatiro akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, Jimbo la Temeke.
Wafuasi na wapenzi wa CUF wakiwa makini kuwasikiliza viongozi wa chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, jimbo la Temeke Dar es Salaam.
Wafuasi na wapenzi wa CUF wakijitokeza kwa wingi kuwasikiliza viongozi wa chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, jimbo la Temeke Dar es Salaam
Wafuasi na wapenzi wa CUF wakijitokeza kwa wingi kuwasikiliza viongozi wa chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Zakiem, jimbo la Temeke Dar es Salaam.Picha na Salmin Said-Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Tanzania Bara Julius Mtatiro Waunguruma Jimbo la Temeke”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.