Sunday, March 24, 2013

MWENYEKITI WA SIMBA ISMAIL ADEN RAGE AWASILI KWA KISHINDO JIJINI DAR ES SALAAM AKITOKEA NCHINI INDIA,AZUNGUMZA NA WANACHAMA MAKAO MAKUU YA KLABU YA SIMBA




Mashabiki na wachama wa Simba wakilisukuma gari alilopanda Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage wakati alipowasili Makao Makuu ya klabu hiyo jana akitokea India kwa matibabu..


Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage, akizungumza na wanachama na mashabiki timu hiyo, ambao walifika Makao Makuu ya klabu hiyo, Msimbazi jijini Dar es Salaam, mara baada ya Rage kuwasili jana akitokea nchini India kwa matibabu.Picha na Francis Dande

Tags:

0 Responses to “MWENYEKITI WA SIMBA ISMAIL ADEN RAGE AWASILI KWA KISHINDO JIJINI DAR ES SALAAM AKITOKEA NCHINI INDIA,AZUNGUMZA NA WANACHAMA MAKAO MAKUU YA KLABU YA SIMBA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI