“AIRTEL YATOSHA CONERT” LAFANA COCO BEACH JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Sunday, April 7, 2013 by Unknown

Ney wa Mitego msanii wa muziki wa Kizazi kipya Bongofleva akifanya jukwaani vitu vyake kwenye ufukwe wa Coco Beach jijini Dar es salaam leo jioni katika tamasha la “Airtel Yatosha Concert” Wasiliana ndani na nje ya mtandao kwa bei poa kuanzia 349/= dakika 10 kupiga mitandao yote SMS 100 na 25MB Piga *149*99# utaona faida yake, katika tamasha hilo wamehudhuria mashabiki wengi wa muziki wa kzazi kipya na kupata burudani kutoka wasanii mbalimbali wakiwemo Madee wa TIPTOP Connection, Fid Q na wengine wengi.

Msanii Madee kutoka kundi la TIPTOP Connection akifanya vitu vyake jukwaani huku mashabiki lukuki wakishuhudia.

Fid Q akipagawisha mashabiki wake katika tamasha hilo

Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Jackson Mmbando akimkabidhi fulana mmoja wa wateja wa Airtel aliyee
lezea vizuri kampeni ya Airtel Yatosha

Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Jackson Mmbando akizungumza na wateja wa Airtel na mashabiki waliojitokeza katika tamasha la Airtel Yatosha kwenye ufukwe wa Coco Beach leo jioni.

Kikundi cha burudani kikitoa burudani kwa kuigiza kutangaza taarifa ya habari ya Televisheni

Mashabiki hawatulii wote mikono juu
Hawa ilibidi waangalie burudani wakiwa juu ya miti
Kazi ya kuwaunganisha wateja na mtandao wa Airtel ilikuwa ikiendelea kama kawaida
Kundi zima la TIPTOP Connection likishabulia jukwaani
Tags:
burudani ,
kitaifa
0 Responses to ““AIRTEL YATOSHA CONERT” LAFANA COCO BEACH JIJINI DAR ES SALAAM LEO”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.