Thursday, May 9, 2013
BREAKING NEWS ..RUAHA KIMENUKA
Thursday, May 9, 2013 by Unknown
MKUU WA MKOA WA MOROGORO JOEL BENDERA.
MJI MDOGO WA RUAHA KATIKA WILAYA YA KILOSA MKOANI MOROGORO KUNA VURUGU KUBWA BAINA YA WANANCHI NA POLISI INAENDELEA SASA HIVI.
Taarifa nilizozipata muda na watu ambao wapo kwenye tukio, wanasema hali si shwari katika mji huo kutokana na kile kinachodaiwa mwenyekiti wa kijiji kukabidhiwa madaraka bila matakwa ya wananchi.
Tukio hilo linadaiwa kufanya kinyemela kwa kumuita ofisini na kukabidhiwa vifaa vya kazi ikiwemo mihuri na vitendea kazi vingine bila kupitishwa na wananchi hao.

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ BREAKING NEWS ..RUAHA KIMENUKA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.