Thursday, May 9, 2013

BREAKING NEWS ..RUAHA KIMENUKA



                                      MKUU WA MKOA WA MOROGORO JOEL BENDERA.




MJI MDOGO WA RUAHA KATIKA WILAYA YA KILOSA MKOANI MOROGORO KUNA VURUGU KUBWA BAINA YA WANANCHI NA POLISI INAENDELEA SASA HIVI.

Taarifa nilizozipata muda na watu ambao wapo kwenye tukio, wanasema hali si shwari katika mji huo kutokana na kile kinachodaiwa mwenyekiti wa kijiji kukabidhiwa madaraka bila matakwa ya wananchi.

Tukio hilo linadaiwa kufanya kinyemela kwa kumuita ofisini na kukabidhiwa vifaa vya kazi ikiwemo mihuri na vitendea kazi vingine bila kupitishwa na wananchi hao.

Tags:

0 Responses to “ BREAKING NEWS ..RUAHA KIMENUKA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI