Sunday, May 12, 2013

JE UMEIPATA KALI YA LEO ;WALIOMPELEKA LADY JAYDEE MAHAKAMANI........HAWA HAPA








Taarifa zilizotufikia ambazo bado zipo chini ya kapeti ni kwamba Kampuni ya Clouds Media Group, imeamua kumfungilia mashitaka msanii nguli wa Bongo Fleva na kiongozi wa bendi ya Machozi, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’. Clouds imeamua kufungua mashitaka hayo baada ya Lady Jaydee kuwachafua viongozi wawili wa juu wa kampuni hiyo ambao ni Mkurugenzi Mtendaji , Joseph Kusaga na Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo, Ruge Mutahaba katika mitandao ya kijamii hivi karibuni. Lady Jaydee anatakiwa kuripoti katika Mahakama ya Kinondoni kukabiliana na tuhuma hizo.




Tags:

0 Responses to “JE UMEIPATA KALI YA LEO ;WALIOMPELEKA LADY JAYDEE MAHAKAMANI........HAWA HAPA ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI