Sunday, May 5, 2013
One the Incredible afunguka kwanini yupo karibu na Lady Jaydee
Sunday, May 5, 2013 by Unknown
Hivi karibuni rappers wanaoheshimika kwa uandishi mahiri wa mashairi, One the Incredible na Nikki Mbishi wameonekana wakichill na Lady Jaydee pamoja na kuchat mara kwa mara kwenye Twitter kitendo kinachoashiria kuwepo uhusiano wa karibu baina ya wasanii hao.
One amesema anamchukulia Lady Jaydee kama dada ambaye amelea wasanii wengi kwenye muziki wa Tanzania.
“Sisi tupo karibu naye sababu ni sister, anatupaga mawaidha mawili matatu. Watu wamesahau kwamba mimi video ya black on black tulifanyiaga Nyumbani Lounge muda mrefu mbona. Au watu wengi hawajui kwamba Jide alianzaga kuchana kabla hajaanza kuimba, watu wengi wameanza kumfuatilia Jide wakati anaimba hawajui kwamba Jide alikuwaga mchanaji vile vile. Ni support tu, it’s just love sababu tunaweza tukalink na watu tofauti na wanaonesha na nini…. na sisi ni new artists so it’s very good, ni support nzuri,” ameiambia Bongo5.
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “One the Incredible afunguka kwanini yupo karibu na Lady Jaydee”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.