Tuesday, May 7, 2013

VAZI LAMUUMBUA MKENYA....MATITI YOTE HADHARANI

Mrembo wa kikenya amejikuta akiambulia aibu ya mwaka baada ya kivazi chake kumuumbua na kuyaanika matiti hadharani......

Aibu hiyo ilimkuta ukumbini baada ya kunyoosha mkono wake ili naye ashangilie kama walivyokuwa wanafanya wenzake ambao walikuwa wamevaa kiheshima...


Baada ya kuutupa mkono hewani, gauni lake ambalo ni "kata kifua" lilishuka na kuianika chuchu hadharani...

Hili ni fundisho tosha kwa baadhi ya dada zetu wanaoukimbilia UZUNGU pasipo kujipanga

Tags:

0 Responses to “VAZI LAMUUMBUA MKENYA....MATITI YOTE HADHARANI ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI