Monday, June 10, 2013

BREAK NEWS: MBUNGE WA MTWARA MJINI ARUDI LUMANDE HADI TAREHE 12 /06/2013


clip_image001
Mbunge wa Mtwara Mjini ndg Murji amerejeshwa rumande mara baada ya kukosa kutimiza masharti ya dhamani iliyo tolewa na Mahakama. Kesi hiyo itasikilizwa tena tarehe 12/06/2013.
Mbunge huyo alikamatwa usiku wa Jumamosi tarehe 8/06/2013 kwa kosa la kuhusika na Uchochezi katika Vurugu zilizotokea Mkoani humo hivi karibuni.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Tags: ,

0 Responses to “BREAK NEWS: MBUNGE WA MTWARA MJINI ARUDI LUMANDE HADI TAREHE 12 /06/2013 ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI