Wednesday, June 12, 2013

Diamond Apata dili lingine













Wanasema hela huenda kwa wenye hela na mwenye nacho huongezewa zaidi. Sina uhakika, lakini
kwa mujibu wa picha nilizoziona kwenye akaunti ya Instagram ya Diamond 
Platnumz, inaonekana kama the lad is about get some serious money from 
wazee wa machapati ‘Azam’.








Katika akaunti hiyo, Diamond ameweka 
picha kadhaa ambazo zote zinamuonesha akiwa amebeba magunia ya unga wa 
ngano wa Azam na katika picha moja ameandika, “Guess what???.



Tutegemee surprise siku si nyingi!!

Tags:

0 Responses to “Diamond Apata dili lingine ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI