Monday, June 10, 2013
Hii Kazi Nisipo Acha Jela Inanita,Ushauri Please
Monday, June 10, 2013 by Unknown
Mi ni mwalimu, wiki iliyopita mwanafunzi wa kike form three, kanifata na kuniambia anataka kunipa zawadi, nkwamwambia poa tu, zawadi aloniletea nilichoka, maana alinletea chupi aina ya boxer 3, na Kila akiniona ananifanyia Vituko Mpaka ananikalia uchu darasana nikiwa nafundisha naona mpaka ikulu kwa vile anakaa viti vya Mbele , vituko vya wanafunzi navipata sana lakini infact sitaki kabisa mambo hayo yanavunja sana heshima ingawa mwaka juzi maji yalizidi unga msichana wa form 2, alini trap hadi nika haribu lakini huwa najilaumu hadi leo kwa kufanya vile na nikatubu nikaahidi kutorudia tena, jamani mniombee nibadilishe kazi naona hii nilonayo sio sio..
This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Hii Kazi Nisipo Acha Jela Inanita,Ushauri Please ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.