Saturday, June 15, 2013
Kama Bado.. Basi Mtizame Miss Tanzania Aliepiga Picha Za Uchi!!
Saturday, June 15, 2013 by Unknown

Haikuweza kufahamika mara moja za sababu za yeye kupiga picha hizo na jitihada za kumtafuta zinaendelea ili aweze kuzifungukia
Miss Dar Indian Ocean ambaye ni
Miss Kinondoni namba 2 mwaka jana, Diana Hussein (pichani) hivi karibuni
amejikuta akipata aibu baada ya picha yake ya utupu kuvuja, Amani
linayo kibindoni.
Picha hiyo inayomuonesha Diana akiwa matiti nje, imesambaa kwenye mtandao wa simu wa BBM huku baadhi ya watu ‘wakifoadiana’.
Baadhi ya marafiki wa mrembo huyo walisema kuwa wameshangaa kuiona picha hiyo kwani kwa wanavyomjua hawakutarajia.
Akiizungumzia picha hiyo, Diana alisema aliipiga kwa matumizi yake binafsi ila akashangaa kuona imesambaa mtandaoni.
Wakati Diana akiteswa na skendo
hiyo, Miss Rukwa namba 3 mwaka jana, Vency Edward naye amefuata mkumbo
baada ya picha zake za utupu kunaswa.
Picha hizo kama ilivyo kwa Diana,
zimezagaa kwenye mtandao wa BBM na zinamuonesha ameshusha gauni lake
hadi kiunoni na kuliacha eneo la juu wazi
credit Globalpublishers
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
Tags:
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “Kama Bado.. Basi Mtizame Miss Tanzania Aliepiga Picha Za Uchi!!”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.