Sunday, June 9, 2013
Mtanzania Feza Kessy Anusurika Kutolewa Big Brother Africa
Sunday, June 9, 2013 by Unknown
Mtanzania Feza Kessy ambae yuko ndani ya Jumba la Big Brother Amenusurika kutoka katika jumba la Big Brother Baada ya kuwekwa katika list ya Wanaopigiwa kura kutoka na Betty ambae alikuwa Head of House wa Week iliyopita...
Walio pigiwa kura kutoka ni LK4 wa Uganda na Koketso wa South Africa.
Hongera Fezza
Hivi ndivyo walivyopigiwa kuru na nchi tofauti :
Total: Hakeem = 6; Feza = 3; Dillish =3, Koketso = 2, LK4 = 1. (Total: 15 Votes)
Credit - BIGBROTHER.
Tags:
burudani

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “Mtanzania Feza Kessy Anusurika Kutolewa Big Brother Africa ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.