Sunday, June 9, 2013

Mtanzania Feza Kessy Anusurika Kutolewa Big Brother Africa




Mtanzania Feza Kessy ambae yuko ndani ya Jumba la Big Brother Amenusurika kutoka katika jumba la Big Brother Baada ya kuwekwa katika list ya Wanaopigiwa kura kutoka na Betty ambae alikuwa Head of House wa Week iliyopita...
Walio pigiwa kura kutoka ni LK4 wa Uganda na Koketso wa South Africa.
Hongera Fezza
Hivi ndivyo walivyopigiwa kuru na nchi tofauti : 
Total: Hakeem = 6; Feza = 3; Dillish =3, Koketso = 2, LK4 = 1. (Total: 15 Votes)

Credit - BIGBROTHER.

Tags:

0 Responses to “Mtanzania Feza Kessy Anusurika Kutolewa Big Brother Africa ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI