Monday, June 10, 2013
Mwanalibeneke Othmani Michuzi kafanya vitu vikubwa ndani ya Kili Award
Monday, June 10, 2013 by Unknown
Video kamera yake a.k.a "Jicho la Tatu" imenasa kitu Demo ya Kimataifa!
Mwanalibeneke Othman Michuzi a.k.a "m2 ya mtaa kwa mta" wa Michuzi Media Group juzi alitinga ndani ya Kilimanjaro Music Award katika ukumbi wa maraha na burudani pale Mlimani City,Jiji Dar.
Alichokifanya mwanalibeneke huyo Othmani Michuzi kwa kutumia kamera yake
au Jicho Kubwa lionalo mbali ,ni kurekodi video ya matukio,ambayo video hiyo
inawezekana ikawa ndio tiketi ya kuupeperusha muziki wa Tanzania katika masoko
ya kimataifa, labda wengi walistushwa na kiwango cha juu cha kimataifa katika video
Wataalamu wa masoko wa kimataifa waliotazama video hiyo katika Youtube,wameshauri kuwa itakuwa jambo la busara kwa Michuzi Media Group,
Kuhifadhi haki yake katika video hizo, na mameneja wa wasanii au bendi wakae
meza moja na manajementi ya Michuzi Media Group,ili wakubaliane kutumia
Bidhaa hiyo kuwa Demo ya kuwaporomoti wasanii au bendi zao.
Kuzitumia bila ya ridhaa ya alipiga video ni kinyume cha sheria.
Kukopi na kupesti bila ya Idhini au ridhaa ya walipiga video hiyo ni kuvunja
sheria na heshima.
ni Ushauri,
lakini Ongera nyingi sana sana kwa Othumani Michuzi kutoka kwa wadau wa ughaibuni. https://www.youtube.com/watch?v=ZDcmpDoZQZM
Kazi imepeperusha Bongo Kimataifa endelea kwa kasi hiyo hiyo
Libeneke lake hili http://www.othmanmichuzi.blogspot.com
Tags:
burudani

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Mwanalibeneke Othmani Michuzi kafanya vitu vikubwa ndani ya Kili Award ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.