Sunday, June 9, 2013
PHOTOS: Mastaa walivyofurika kwenye birthday party ya Vanessa Mdee
Sunday, June 9, 2013 by Unknown
Weusi G Nako na Joh Makini
Vanessa Mdee na Linah
Mastaa wa kumwaga walikua miongoni mwa wageni takriban 100 walioalikwa kwenye birtday party ya Vanessa Mdee. Pamoja na kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, Vanessa pia aliitumia fursa hiyo kujipongeza kwa kutajwa kuwania Kili Awards mwaka 2013, zinazofanyika leo kwenye ukumbi wa Mlimani City.
Baadhi ya wasanii na watu mashuhuri walioalikwa kwenye party hiyo ni Izzo B, Weusi, Mwana FA, AY, Shaa, Master Jay, Salama Jabir, Marco Chali, Quick Rocka, Lina, Ommy Dimpoz, producer Master J. Wasanii waliotumbuiza ni pamoja na Linah, Izzo B, Shaa, Ommy Dimpoz, G-Nako, The Trio na birthday girl mwenyewe Vanessa.
Tags:
burudani

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “PHOTOS: Mastaa walivyofurika kwenye birthday party ya Vanessa Mdee ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.