Thursday, June 13, 2013

Unyama huu utaisha lini nchi hii??Mtoto mchanga atupwa leo eneo la Magomeni jijini Dar




Wakazi wa eneo la Magomeni zilipovunjwa nyumba za kota jijini Dar es salaam wakishuhudia mtoto mchanga anayekadiliwa kuwa umri wa siku moja akiwa kwenye mfuko na kutupwa na mtu asiejulikana.



Askari Polisi wa kituo cha Magomeni Usalama wakiwa katika eneo hilo ambalo alitupwa mtoto mchanga akiwa amekufa kwa ajili ya kumchukua kumpeleka sehemu husika 




Mwili wa Mtoto huyo ukiwa ndani ya gari la Polisi tayari kwa safari ya kwenye sehemu husika.



Wakazi wa maeneo ya jirani na hapo na wale wapita njia wakiwa katika eneo la tukuo.Picha na Mdau Philemon.

Copyright: Mtaa Kwa Mtaa Blog

Tags: ,

0 Responses to “Unyama huu utaisha lini nchi hii??Mtoto mchanga atupwa leo eneo la Magomeni jijini Dar ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI