Monday, July 1, 2013

PHOTOS: JINSI DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOKONGA NYOYO KATIKA SHOW YA TIGO HUKO MWANZA







Silaha hatari kama kawaida yao wakianza taratibu.....Mpera Mpera tu
hadi kieleweke''






Haya sasa ni mwendo wa nyoka nyoka tu.......
wataelewa sasa hivi au wataelewa baadae...?







Rama Mpauka akimseti roboti wake 

ikafika time ya the prezident kuingia........

Nikistaajabishwa na shangwe na umati wa watu waliokuwa 
wamefurika uwanjani pale pale tu nilipotokea uwanjani






....hapo sasa yanii....afe kipa afe beki lakini ushindi lazima....






Kaskazini mwa uwanja wa ccm kirumba umati
wa watu waliofurika wakishuhudia 
amsha amsha ya wasafi










nimpende nani sasaaa...........???


Aya sasa....Nilikuwaga na nani zamani.....???? Alafu akafanyaje.....??
Leo nataka mtoto wa mwanza kunitibu maradhi nayougua



hakika nilikumbuka kigoma............








siwasikii..etiii??











haya twende sasa mashetani yashanianza.............


aaah..wosaaa aiiiii.....wosaaaaaa...ha ha ha ..vijana 
wangu wakinipandisha mizuka


Ndiyo kusema nani amenunaa??nani
amenunaaa??siwasikii..nani...??


Napenda kumshukuru Mungu kwa siku ya leo napenda kuwashukuru
tigo na wasanii wengine walioudhuria na kufaanikisha
Bash hii kiujumla kabisa.....
Wasanii wote walipanda lakini kutokana na ratiba sisi tulikuwa
wa mwisho kupanda jukwanii 
kuja kukonga nyoyo za mashabiki wangu
na wateja wa tigo min kabang.....Sikuwa pekee yangu 
kwenye stage nilikuwa na dancers wangu wote
kuhakikisha nakata kiu ya wana Mwanza na kuacha historia mbele ya maelfu waliofurika
kwenye uwanja wa c.c.m kirumba....
na kuhakikisha kuwa Min kabang ipo poa ...
Sikuamini nilipotokea jukwanii ule umati wa maelfu ya watu
wakubwa kwa wadogo waliofurika ndani ya uwanja huu
na kikubwa kilichonisisimua ni shangwe za 
mashabiki baada tu ya mimi kutokea
ni umati ulionikumbusha show ya leka dutigite mkoani
kigoma umati uliokuwa umefurika kipindi kile ni sawa 
sawa na niliouona leo ccm kirumba..kiukweli watu wa
mwanza wameonyesha mapenzi ya hali ya juu kiasi 
ilibidi show kusitishwa baada ya purukushani zilizotokea
nikiwa ndiyo kwanza nimeimba wimbo mmoja tu wa 
nimpende nani..ile hali ya mkanganyiko wa watu kusukumana
ilisababisha binafsi kuacha kuimba kutokana kuona
maelfu ya mashabiki
kuumizana na kukanyagana kutokana msongamano wa watu.....
Nasikitika kwa hali iliyotokea uwanjani pale 
mashabiki waliokuwa wakisubiri
kwa hamu kushuhudia show yangu nzima ikiishia njiani,
narudi Dar lakini nawaahidi
mashabiki zangu wa mwanza kuwa i will be back..nawaandalia
kitu kikubwa na kizuri hapo hapo CCM KIRUMBA
panapomajaliwa tuombeane uzima
kuja kuona kile walichokuwa wanakitegemea leo
na maujuzi mengine zaidi yatakayokuwa yameongezwa....
Zifuatazo ni picha kadhaa nikijimwaya mwaya stejini na 
silaha zangu hatari kabisa
Emma Platnum,Moses Iyobo,Dumi Utamu & Rama 
Mpauka kufanya maangamizi haya
kwenye Music on Sound My Blood Rommy Jones
kuhakikisha sound na mic zikienda sawa....!!

Tags:

0 Responses to “PHOTOS: JINSI DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOKONGA NYOYO KATIKA SHOW YA TIGO HUKO MWANZA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI