Monday, July 1, 2013
PHOTOS: JINSI DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOKONGA NYOYO KATIKA SHOW YA TIGO HUKO MWANZA
Monday, July 1, 2013 by Unknown
Silaha hatari kama kawaida yao wakianza taratibu.....Mpera Mpera tu
hadi kieleweke''
Haya sasa ni mwendo wa nyoka nyoka tu.......
wataelewa sasa hivi au wataelewa baadae...?
Rama Mpauka akimseti roboti wake
ikafika time ya the prezident kuingia........
Nikistaajabishwa na shangwe na umati wa watu waliokuwa
wamefurika uwanjani pale pale tu nilipotokea uwanjani
....hapo sasa yanii....afe kipa afe beki lakini ushindi lazima....
Kaskazini mwa uwanja wa ccm kirumba umati
wa watu waliofurika wakishuhudia
amsha amsha ya wasafi
nimpende nani sasaaa...........???
Aya sasa....Nilikuwaga na nani zamani.....???? Alafu akafanyaje.....??
Leo nataka mtoto wa mwanza kunitibu maradhi nayougua
hakika nilikumbuka kigoma............
siwasikii..etiii??
haya twende sasa mashetani yashanianza.............
aaah..wosaaa aiiiii.....wosaaaaaa...ha ha ha ..vijana
wangu wakinipandisha mizuka
Ndiyo kusema nani amenunaa??nani
amenunaaa??siwasikii..nani...??
Napenda kumshukuru Mungu kwa siku ya leo napenda kuwashukuru
tigo na wasanii wengine walioudhuria na kufaanikisha
Bash hii kiujumla kabisa.....
Wasanii wote walipanda lakini kutokana na ratiba sisi tulikuwa
wa mwisho kupanda jukwanii
kuja kukonga nyoyo za mashabiki wangu
na wateja wa tigo min kabang.....Sikuwa pekee yangu
kwenye stage nilikuwa na dancers wangu wote
kuhakikisha nakata kiu ya wana Mwanza na kuacha historia mbele ya maelfu waliofurika
kwenye uwanja wa c.c.m kirumba....
na kuhakikisha kuwa Min kabang ipo poa ...
Sikuamini nilipotokea jukwanii ule umati wa maelfu ya watu
wakubwa kwa wadogo waliofurika ndani ya uwanja huu
na kikubwa kilichonisisimua ni shangwe za
mashabiki baada tu ya mimi kutokea
ni umati ulionikumbusha show ya leka dutigite mkoani
kigoma umati uliokuwa umefurika kipindi kile ni sawa
sawa na niliouona leo ccm kirumba..kiukweli watu wa
mwanza wameonyesha mapenzi ya hali ya juu kiasi
ilibidi show kusitishwa baada ya purukushani zilizotokea
nikiwa ndiyo kwanza nimeimba wimbo mmoja tu wa
nimpende nani..ile hali ya mkanganyiko wa watu kusukumana
ilisababisha binafsi kuacha kuimba kutokana kuona
maelfu ya mashabiki
kuumizana na kukanyagana kutokana msongamano wa watu.....
Nasikitika kwa hali iliyotokea uwanjani pale
mashabiki waliokuwa wakisubiri
kwa hamu kushuhudia show yangu nzima ikiishia njiani,
narudi Dar lakini nawaahidi
mashabiki zangu wa mwanza kuwa i will be back..nawaandalia
kitu kikubwa na kizuri hapo hapo CCM KIRUMBA
panapomajaliwa tuombeane uzima
kuja kuona kile walichokuwa wanakitegemea leo
na maujuzi mengine zaidi yatakayokuwa yameongezwa....
Zifuatazo ni picha kadhaa nikijimwaya mwaya stejini na
silaha zangu hatari kabisa
Emma Platnum,Moses Iyobo,Dumi Utamu & Rama
Mpauka kufanya maangamizi haya
kwenye Music on Sound My Blood Rommy Jones
kuhakikisha sound na mic zikienda sawa....!!

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “PHOTOS: JINSI DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOKONGA NYOYO KATIKA SHOW YA TIGO HUKO MWANZA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.