Tuesday, February 18, 2014

LOWASSA NA WENZAKE SITA WAPEWA ONYO KALI NA CCM


Press Conference ya CCM imefanywa na Nape saa 8.... Issue ni kwamba wale vigogo 6 wa CCM wamepewa onyo kali, karipio na kwa maana hiyo watakuwa chini ya uangalizi maalumu kwa miezi 12 kuanzia jana kutogombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CCM... Lowassa, Ngeleja, Membe, Wasira, Januari, Sumaye... Uwezekano wa kugombea nafasi ya urais yaota mbawa? 

Tags:

0 Responses to “LOWASSA NA WENZAKE SITA WAPEWA ONYO KALI NA CCM”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI