Wednesday, February 26, 2014

NIMEGONGWA NA BODA BODA NIKIMSHANGAA MDADA MWENYE WOWO KUBWA


Sasa nimekuwa kama mgonjwa ,nikiona mwanamke mwenye wowo kubwa akiri yangu inaruka kabisa. Leo katika pilika pilika za kutafuta maisha nikiwa kariakoo nimegongwa na boda boda nikiwa namshangaa mdada mwenye matako makubwa , bahati nzuri sikuumia sana, lakini sasa nawasi wasi kwamba inawezaikatokea nikagongwa nagari kabisa nakuumia sana au hata kufa kwa huu ugonjwa wangu wa kupenda kutamani wanawake wenye makalio makubwa . Sasa sijui nifanyaje, kuna rafiki yangu mmoja kanishauri nioe mwanamke mwenye makalio makubwa labda itakuwa nafuu kwangu. Majanga haya , yani leo baada ya kugongwa nilijiona jinga sana aisee...Naomba ushauri

Tags:

0 Responses to “NIMEGONGWA NA BODA BODA NIKIMSHANGAA MDADA MWENYE WOWO KUBWA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI