Friday, February 21, 2014

NYOTA YA WASTARA YAZIDI KUSHINE BONGO MOVIE, SOMA ALICHOKISEMA RIYAMA KUMHUSU WASTARA


 







Mcheza filamu za kibongo Riyama Ally anaetisha katika filamu za kulia lia amesema licha ya kipaji alichonacho lakini hamfikii msanii mwenzake Wastara Sajuki.
Amemtaja msanii huyo kuwa anauwezo mkubwa wa kuigiza vyovyote inavyoitajika na kwamba ni nadra sana kupata waigizaji wa aina hiyo
Riyama amesema yeye anakubalika kwa kuigiza kulia lakini amewataka wadau waelewe kwamba Wastara ndio analia zaidi na anafanya hivyo kwa kuzingatia uhalisia wa sehemu anayoigiza
“Mimi nalia lakini pamoja na yote namkubali sana Wastara yeye anajua zaidi lazima niseme ukweli?

SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

Tags:

0 Responses to “NYOTA YA WASTARA YAZIDI KUSHINE BONGO MOVIE, SOMA ALICHOKISEMA RIYAMA KUMHUSU WASTARA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI