Home » Unlabelled » NYOTA YA WASTARA YAZIDI KUSHINE BONGO MOVIE, SOMA ALICHOKISEMA RIYAMA KUMHUSU WASTARA
Friday, February 21, 2014
NYOTA YA WASTARA YAZIDI KUSHINE BONGO MOVIE, SOMA ALICHOKISEMA RIYAMA KUMHUSU WASTARA
Friday, February 21, 2014 by Unknown
Mcheza filamu za kibongo Riyama Ally anaetisha katika filamu za kulia lia amesema licha ya kipaji alichonacho lakini hamfikii msanii mwenzake Wastara Sajuki.
Amemtaja msanii huyo kuwa anauwezo mkubwa wa kuigiza vyovyote inavyoitajika na kwamba ni nadra sana kupata waigizaji wa aina hiyo
Riyama amesema yeye anakubalika kwa kuigiza kulia lakini amewataka wadau waelewe kwamba Wastara ndio analia zaidi na anafanya hivyo kwa kuzingatia uhalisia wa sehemu anayoigiza
“Mimi nalia lakini pamoja na yote namkubali sana Wastara yeye anajua zaidi lazima niseme ukweli?

SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO Tags:

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “NYOTA YA WASTARA YAZIDI KUSHINE BONGO MOVIE, SOMA ALICHOKISEMA RIYAMA KUMHUSU WASTARA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.