Saturday, March 8, 2014

OLE SENDEKA AMSIFIA TUNDU LISSU BUNGENI..AMSHAURI RAIS JK AMPE UWAZIRI WA KATIBA NA SHERIA




Wadau ole sendeka amemsifu mh tundu lissu kwa uwezo aliounyesha kwenye haya masuala ya kikanuni bungeni. Ameenda mbali zaidi kwa kumshauri rais Jakaya Kikwete ampe uwaziri wa sheria na katiba!

Uzalendo kwanza vyama baadae! Kama mtu anapiga kazi vizuri basi mpeni sifa na nafasi inayomfaaa......

Tags:

0 Responses to “OLE SENDEKA AMSIFIA TUNDU LISSU BUNGENI..AMSHAURI RAIS JK AMPE UWAZIRI WA KATIBA NA SHERIA”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI