Wednesday, March 27, 2013

JAHAZI WAFANYA MAKAMUZI YA NGUVU DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO





Mzee Yusuf ‘Mfalme’ akicheza kiduku na shabiki aliyepanda jukwaani.

WAPENZI wa muziki wa mwambao usiku wa kuamkia leo walipata burudani ya aina yake ndani ya Dar Live wakati kundi la Jahazi Modern Taarab chini ya Mfalme Mzee Yusuf lililopokuwa likiporomosha burudani. Katika shoo hiyo, dada mmoja ambaye hakujulikana jina lake mara moja alikuwa kivutio ukumbini hapo kwa burudani aliyoitoa sambamba na wanamuziki wa Jahazi. Pichani juu ni baadhi ya matukio yaliyochukua nafasi ndani ya ukumbi huo wa maraha uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.

Shabiki huyo akiwapagawisha mashabiki sambamba na wacheza shoo wa Jahazi.


Shabiki akiwapa raha wapenzi wa burudani.

…Akizidi kuonesha machejo stejini.

Mwimbaji wa Jahazi Modern Taarab, Rahma ‘Machupa’ akipagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.

Mwimbaji wa Jahazi akiwarusha roho mashabiki.


Nyomi ikiwa imepagawa na midundo ya Jahazi ndani ya Dar Live.

Tags:

0 Responses to “JAHAZI WAFANYA MAKAMUZI YA NGUVU DAR LIVE USIKU WA KUAMKIA LEO ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI