Home
» siasa
» Mamia Wajitokeza Kwenye Mkutano wa Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe Mjini Musoma
Wednesday, March 13, 2013
Mamia Wajitokeza Kwenye Mkutano wa Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe Mjini Musoma
Wednesday, March 13, 2013 by Unknown
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (MB) akiihutubia Mkutano wa hadhara wa Chama hicho Mjini Musoma Mkoani Mara.
Sehemu ya Umati wa watu waliohudhuria mkutano huo
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe (MB) jana alihutubia Mkutano wa hadhara wa Chama hicho Mjini Musoma Mkoani Mara. Mbali na Mbowe pia viongozi wengine akiwepo Mbunge wa Musoma pia alihutubia mkutano huo.
Tags:
siasa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “ Mamia Wajitokeza Kwenye Mkutano wa Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe Mjini Musoma”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.