Wednesday, March 13, 2013

BREAKING NEWS:PAPA MPYA APATIKANA ONA HAPA.




 Makardinali wamemchagua Baba Mtakatifu mpya kuliongoza Kanisa Katoliki katika karne hii ya 21. Vilio vya furaha vilitawala wakati moshi mweupe ulipoonekana kwenye anga la Vatican City muda mchache uliopita. Jina halijatangazwa bado; Papa mpya anatarajiwa kubariki umati uliokusanyika St. Peter's Square dakika 20-30 zijazo.

CREDIT-MWANANCHI

Tags:

0 Responses to “ BREAKING NEWS:PAPA MPYA APATIKANA ONA HAPA.”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI