Sunday, March 24, 2013

Ziara ya Wabunge vijana wa Bunge la Tanzania nchini India








Mbunge wa Kigamboni Mhe. Dkt Faustine Ndugulile yupo nchini India akiliwakilisha Bunge la Tanzania kwenye kongamano la Wabunge vijana toka Bara la Afrika lililoandaliwa na Serikali ya India. Wabunge wengine toka Tanzania ni Mhe. Namelok Sokoine(MB) na Mhe. Saidi Mussa Zuberi (MB). Jumla ya nchi 19 za Bara la Afrika zinashiriki kwenye kongamano hili lililoanza tarehe 16.03.2013.Pichani, Mhe. Ndugulile(MB) na Wabunge toka Mali na Ethiopia.Picha na Habar na Dr Faustine Ndugulile

Tags:

0 Responses to “Ziara ya Wabunge vijana wa Bunge la Tanzania nchini India ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI