Saturday, April 6, 2013
Je Mwanamke Kutoka Nyumbani na Kwenda Kupanga Mtaani ni Sahihi
Saturday, April 6, 2013 by Unknown
Heshima kwenu wadau,sasa hivi kuna trend kubwa ya wasichana ambao kidogo unakuta wamejaaliwa kupata walau kipato cha kawaida tu na kuamua kutoka nyumbani kwao kwenda kupanga chumba,je hili mnalionajae liko sawa au sio sawa kwa maana m`ke hata kama amejaaliwa kupata kazi basi akae kwao mpk mungu atakapojaalia kumpata mwenza wa halali,nakaribisha mawzo yenu wadau
This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Je Mwanamke Kutoka Nyumbani na Kwenda Kupanga Mtaani ni Sahihi”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.