Saturday, April 6, 2013
Lecturer Alinifungia Ofisini,Alinichania nguo Nakutaka Kunibaka
Saturday, April 6, 2013 by Unknown
Habar wa Udaku
Polen na majukumu. Hivi karibun nilikwenda kuhakiki course work yangu kwa mwalimu husika wa somo hilo lakini nilikuwa napigwa danadana.Kila nikienda ananiambia anahudumia watu wengine nakunipangia muda wa kuanzia ucku.
Mara ya kwanza aliniambia atanijazia lakini naye kuna kitu anakihitaj kutoka kwangu.............nilipo hojo ni kitu gana akaniambia ninakimiliki mwenyewe na hakihitaji tume kuamua, Nikaondoka nakurudi tena zaidi ya mara 3 nakuahidi kuwa atanijazia lakini cha ajabu Nilipokwenda kwa Hod bado haikubadilishwa, nikaamua kurud kwa mwlm lkn kilichofuata nikunichania nguo nakutaka kunibaka oficin kwake nilijinasua lkn nijigonga kwenye ukuta na kupasuka puan.
Naomba mnisaidie wana udaku maana nimelirudisha swala hilo kwa Hod lakin nae amesema atalirudisha kwa mkuu wake.Nilimrekod katika simu mara zote nilipokwenda kwake isipokuwa siku ambayo aliyonichania skintight na kutaka kunifanyia huo unyama..............!
Naomben msaada wenu pliz coz mm na yeye tumefikia pabaya sana.
This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Lecturer Alinifungia Ofisini,Alinichania nguo Nakutaka Kunibaka”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.