Sunday, May 5, 2013

Je wajua kwanini tunawaomba msamaha wapenzi wetu?


MAMBO FULANI MUHIMU

Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam
NATUMIA muda huu kuwapongeza waandishi wa Habari duniani kote, hususan wa Tanzania, baada ya jana kusherehekea Siku ya Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari.
Picha hii ni ishara mbaya kwenye uhusiano wa kimapenzi.


Ni jambo la jema kwa kuwapo watu hawa, maana wamekuwa wakifanya mengi yanayopelekea faida kwa jamii nzima. Bila vyombo vya habari, jamii isingejitambua kwa namna moja ama nyingine.


Bila vyombo vya habari na waandishi wao kwa ujumla, hata uchumi katika kila nchi usingeweza kukua. Bila waandishi wa habari, Dunia ingeendelea kubaki katika mfumo wa zamani, kiasi cha kushindwa kujua Tanga, Arusha na mikoa mingine kunaendelea na kitu gani.

Tags:

0 Responses to “Je wajua kwanini tunawaomba msamaha wapenzi wetu? ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI