habari mpya
Showing posts with label mapenzi. Show all posts
Showing posts with label mapenzi. Show all posts

Sunday, March 30, 2014

MWANAUME UKITAKA KUWEKA HESHIMA KWA MPENZI WAKO FANYA HAYA

Sunday, March 30, 2014 - by Unknown · - 0 Comments





Mwanaume acha kucheka cheka hovyo na upuuzi ukiwa mjini MKEO ATAKUWA ANAPAKULIWA HOVYO...haya fuata haya UTAONA MAPENZI yatakavyo nyooka...wanawake viumbe vilivyoumbwa kwa kudanganya danganywa...so do this steps wala usiongee maneno...then rudi hapa utoe ushuhuda...
1: Kama una bastola na mkeo au mpenzi wako
humwelewi...akiwa yuko home...ww chukua uwe
unaiosha osha...huku unaiandaa vizuri akiwa
anaona...usiongee sana nae...
..2.. kama huna bastola..chukua hata PANGA...noa
vizuriiii...paka mafuta huku unaicheki...huku ukipita
pita karibu yake...na weka somewhere kabatini...


..3..Basi kama huna panga...noa vizuriiii kisuu na
kiandae huku akiona na unapita pita karibu yake
USIONGEE KITU...akikusemesha ww mwambie
kilikuwa BUTU...usijibu sana...ila usicheke cheke


....HUKU UNAIMBA KIFOO KIFOO...kifoo...kifooo ..oooh kifo hakina huruma....


...Mwanaume usiongee sana kwani ushajua message
sent....then mwonyeshe dalili kuwa ana kucheat...ila
...usimwambie...ww tulia tu...utaona mabadiliko makubwa ajabu...atanyooka...


...mwanaume acha kucheka cheka hovyo au kusema
hovyo na mkeo atakuzunguka..

Saturday, March 29, 2014

JEURI YA PESA...NJEMBA YAPORWA MKE NA MFANYABIASHARA....! JAPO INA SIKITISHA SANA! SOMA NA TAZAMA ZAIDI HAPA

Saturday, March 29, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



 
Kigogo wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ anayedaiwa kupora mke wa mtu.

KIGOGO wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ (38) anadaiwa kupora mke wa mtu, Violet Herman Masawe (29) huku ikisemekana anatumia jeuri ya fedha kumnyanyasa mwenye mke.








Akizungumza na gazeti hili, mume wa mwanamke huyo, Silvester Masawe mkazi wa Usa- River, Arumeru, Arusha alisema kuwa alifunga ndoa na Violet mwaka 2004 katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Kalori, Usa River na kufanikiwa kupata mtoto wa kiume, Clinton Masawe (9).




 
Mke wa mtu, Bi Violet Herman Masswe.

Mlalamikaji huyo alisema baada ya muda mkewe alibadilika tabia na kuanza dharau na kutomheshimu mumewe.

Alisema aliamua kufanya uchunguzi wa kina na kubaini kwamba mkewe huyo ana uhusiano ya kimapenzi nje ya ndoa. Hata hivyo, Masawe hakuweza kufahamu nani anayeingilia ndoa yake kwa kupindi hicho.



Siku ya ndoa kati ya Bi. violet Herman Massawe na Silvester Masawe mkazi wa Usa- River, Arumeru, Arusha. Anaeleza: “Mgogoro ndani ya ndoa ulizidi kupamba moto. Watu, wakiwemo wazazi walisuluhisha ndoa yetu, amani ikarejea kwa muda ila sikuwa nikipatiwa unyumba kwa muda mrefu.”

Alisema hali hiyo ilimfanya awe mnyonge huku mkewe akifanya atakavyo, ikiwemo kuondoka nyumbani na kurudi muda anaotaka akiwa na harufu ya pombe hali iliyomlazimu Masawe kuishi kama mkimbizi ndani ya nyumba yake.



Mtoto wa miaka tisa ambaye Bw. Silvester Massawe amezaa na Bi. Violet . Alieleza kuwa siku moja alisafiri kibiashara kwa muda mrefu na kumwacha mkewe akisimamia biashara nyingine ikiwemo nyumba ya kulala wageni, duka la jumla na rejareja.

Hata hivyo, hakuamini masikio yake baada ya kupata taarifa kuwa mkewe hayupo nyumbani kitambo na baadhi ya bidhaa za dukani zimeyeyuka.

‘’Nilianza uchunguzi, ndipo nilipopata taarifa kuwa mke wangu anaishi na mwanaume aliyetajwa kwa jina la Dr.Dril (Dullah),” alisema na kuongeza:

‘’Niliamua kufuatilia ila sikuelewa walipokuwa wanaishi, lakini nilibahatika kupata namba zake za simu na kumpigia. Alinijibu hanijui na nikitaka nikashitaki popote kwani anayo fedha na kwa vile mwanamke nilimtelekeza, nimemwona amependeza, namtaka, simpati ng’o.”

Alisema alikwenda kutoa taarifa Kituo cha Polisi Usa River juu ya upotevu wa familia yake ambayo ni mke na mtoto huku akimtaja anayemhisi.

Mwanaume huyo alisema polisi walimpigia simu Dullah na alifika kituoni. Alipoulizwa kuhusu kuishi na mke wa mtu wakati akijua ni kinyume cha sheria, alikiri na kusema alikuwa hajui kama mwanamke huyo ni mke wa mtu. Polisi walimuamuru kumrudisha mwanamke huyo kwa mumewe, lakini hadi sasa hajafanya hivyo.
Akizungumzia tuhuma hizo alipoongea na gazeti hili, Dullah






alikiri kuishi na Violet na kujinasibu kuwa mwanaume huyo hana hadhi ya kuishi na mwanamke mrembo kama huyo kwani akiwa kwake alimchakaza ila kwa sasa amenawiri.

‘’Huyo mwanaume alimtelekeza mke wake kwa muda mrefu, niliamua kuishi naye kama mke baada ya kumwona ana sifa zote,’’ alisema Dullah.
Alisisitiza kuwa, hana mpango wa kumwacha mwanamke huyo kwa vile ameshamnunulia gari aina ya Toyota Noah kwa ajili ya kutembelea tu. Kwa upande wake Violet, alisema hana mpango wowote wa kurudi kwa Masawe kwani kwa sasa ameanza maisha mapya na kilichobaki anafanya mpango wa kupata talaka ndani ya mwezi huu. 


GPL SOURCE.

Thursday, March 27, 2014

Kwa nini Mwanamke Akishazalishwa Anakuwa Mwepesi Kuchukulika? SOMA ZAID HAPA....NA UTOE COMMENTZAKO

Thursday, March 27, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



 
Katika pita pita zangu wale wadada wanajidai wana misimamo wanapozalishwa na wanaume na kuachwa alone huwa wanashuka chini na inakuwa rahisi kupiga sound

ya kawaida na kuchukua mzigo ila kipindi kabla ilikuwa hata kusalimia watu ni tabu kwake.Najiuliza kwa nini hulainika na kuwa na heshima pindi wanapobaki wenyewe baada ya kuzalishwa?

Wednesday, March 26, 2014

TUKIO LILILO SHANGAZA ABIRIA KWENYE NDEGE, JAMAA AFANYA NG0NO YA MDOMO 0RAL S3X NA DEMU WAKE NDANI YA NDEGE TUKIO KWA PICHA NA STORI CHECK HAPA

Wednesday, March 26, 2014 - by Unknown · - 0 Comments




 
Wanandoa wamekamatwa kwa kujihusisha nang0no ya mdomo juu ya ndege.

Wao aliomba msamaha kwa kufanya kitendo hicho na hatimaye alipigwa faini ya $ 250 kila moja wao kwa ajili ya kupata frisky juu ya ndege kutoka Medford, Ore, Kwa Las Vegas.
baada ya kushtakiwa kwa Awali Walikuwa na kesi ya uashe*rati, uchafu na vitendo obscene juu ya ndegekwa tabia yao juu ya ndege Allegiant Air MWEZI HUU..
Iliripotiwa kuwa






abiria kushuhudia bwana Christopher Martin ni suala la aibu sana ,
Martin aliomba radhi kwa wale abilia wote ambao walikuwemo ndani ya ndege, lakin hebu turud nyuma kidogo, hiv hawa wana akili kweli au?? kama mdau una maoni gani??

WANAO TEMBEA NJE YA NDOA NI MATAAHIRA NA WANA IQ NDOGO

- by Unknown · - 0 Comments



Wengi wa watu wetu ni Mataahira, ni kwamba tu hatujakuwa na utaratibu wa kuwacheki watu wetu, lkn naamini idadi ni kubwa sana inaweza kuwa zaidi ya 30%!

Ukiangalia kuanzia Magomvi Majumbani mpaka Ngono Zembe ndio utaliona Hilo, Watu wanaotembea Nje ya ndoa ni Mataahira, yaani wana IQ ndogo kuliko wale wasiotembea nje ya Ndoa!
Kwa maana nyingine IQ zao hazitoshi kuweza kumudu Maisha ya kawaida, ni sawa na Watu wanaofanya Uhalifu pia ni Mataahira wana IQ ndogo...

JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA

- by Unknown · - 0 Comments



Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa hayupo tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi ya mkali wa Bongo Fleva, Ruta Maxmilian Bushoke aliyeko Afrika Kusini.
Akipiga stori na gazeti hili, Kabula alisema: “Ndoa yangu itakuwa na Bushoke tu. Sijali umbali wetu, lakini naamini siku moja atakuja na atanioa. Uhusiano wetu uko poa na tunawasiliana vizuri kila wakati,” alisema Kabula na kuongeza:

“Siwezi kusema atakuja lini lakini nawaambia kabisa wanaonizengea, watafute kitu kingine cha kufanya, mimi na Bushoke kilichobaki ni ndoa tu.”
GPL

Tuesday, March 25, 2014

WANAFUNZI WA CHUO WANASWA WAKIS*AGANA!! NI AIBU...TAZAMA NA SOMA ZAID HAPA (18++ ONLY)

Tuesday, March 25, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



Siku za hivi karibuni matukio ya wanafunzi wa kike katika baadhi ya vyuo yamekuwa yakiongezeka siku baada ya siku na hizo hapo juu ni baadhi ya picha za matukio ya wanafunzi wa kike wakisagana tena bila hata aibu na hali hii imekuwa



 ikitokea pale wanafunzi hao wanapo kuwa wakihitaji kujiridhisha kimwali ndipo huamua kufanya madudu kama hayo na uchunguzi uliofanya na mwandishi wetu unaonyesha kuwa wanafunzi hao hufanya vitendo hivyo wakati wa usiku au wakati wa vipindi vya darasani ambapo hosteli huwa kunakuwa hakuna watu.

Monday, March 24, 2014

AGANO LA DAMU KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI

Monday, March 24, 2014 - by Unknown · - 0 Comments




 
Unapohusiana na mtu kimapenzi unafanya naye agano la damu. Agano hilo maana yake ni kwamba wewe unakubaliana na kufungamana na sifa na tabia pamoja na vifungo vingine vyote kama vile laana, mizimu, matatizo na majanga mbalimbali yanayomhusu huyo uliyefanya naye mapenzi, kadhalika na yeye anafungamana na wewe katika mambo hayo. Agano la namna hiyo humtaka aliyeingia katika hayo mapatano kukubaliana nayo "consistently". Iwapo mhusika hatatii au ataenda kinyume na agano, ndipo agano hilo "hutrigger malice" na kusababisha kutokuelewana, vurumai, kutokupendana na hata kuuana katika mahusiano na mara nyingi kupelekea kuachana!

Kimsingi, unapojamiana na mtu unakubaliana naye kuchangia kila kilicho chake, na yeye pia anakubaliana kuchangia na wewe kila kilicho chako, hasa laana na matatizo kama vile magonjwa na mizimu kwa sababu hivi vitu vimejengwa katika maagano ya damu.

Ndio maana wakati mnaoana na mwenzio mlipendana sana, lakini kwa sababu wewe au mwenzi wako alichepuka na kufanya maagano: ugomvi, mapigano, kutishiana, chuki na hata kutaka kuuana hakuishi kila leo! Swala sio wivu kwamba unahisi mwenzi wako anakusaliti au kuhitilafiana katika mambo tu ya kawaida, issue ni yale maagano ya damu ambayo "hudemand price"!

Mara nyingi unasikia watu wanalalamika kuhusu tabia za watoto "huyu mtoto tabia kaichukua wapi, mbona baba na mama yake au ukoo wao hawako hivyo?". Chanzo cha tabia za ajabuajabu za watoto ni matokeo ya michepuko iliyofanya maagano na watu/koo zingine zenye laana. Laana na matatizo yanayoletwa na agano la damu katika familia havihitaji mtu kuchepuka na kuzaa nje ya ndoa, bali tu kuhusiana katika mapenzi!

Mimi nilipoingia kwenye mahusiano na mke wangu nilivunja maagano yote kwa jina la Yesu. Lakini kumbuka kuwa huwezi kuvunja maagano kama vile ya michepuko kwa jina la Yesu ili "kufavor your own evil deeds"!

Maagano yanayofanywa na watu kwa njia ya mapenzi huenda vizazi hadi vizazi. Hii ni sawa kabisa kwa mjibu wa sayansi kwani "hereditary information" kutoka kizazi hadi kizazi hubebwa na viasili vilivyopo katika damu, mfano DNA.
Pasco anaweza kuendeleza hii mada kwa uchambuzi zaidi.

Mie na mke wangu tuna furaha fulltime kwa sababu mapenzi yetu yananawiri kila kukicha, na huwa hatuelewi kabisa matatizo katika ndoa za watu yanatokana na nini! "We are the happiest couple" kwa sababu "we posses several life secrets" mojawapo ni siri kuhusu agano la damu!

Tambueni ya kwamba one of the great decisions a person can make in his/her life ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi (hata kwa dakika moja) na mtu kwa sababu anafanya naye life covenant "blood covenant"!
We teach you things that matter most!
- LifeHacker

18+..VIDEO..WAARABU WALIO WENGI WANAPENDA USHENZI, WAME MDANGANYA DANGANYA DEMU NA KUMRECORD ACEZA AKIWA MT*UPU NA KUISAMBAZA VIDEO,JIONEE HAPA,JE WAPEWE ADHABU GANI??

- by Unknown · - 0 Comments



 
Katika pitapita Nimekutana na moja ya video nyingi ambazo dada zetu hupenda kurekodiwa na mabwana zao bila kujua athari zake kwa taswira zao.






Dada huyu jina hatuna ila yasemekana anatoka visiwani hapa TZ alikuwa akirekodiwa na mtu ambae anaaminika kuwa ndio ‘bwana’ yake huku akicheza muziki wa Kiarabu akiwa nusu uC*hi...
KUCHEKI VIDEO HIYO. BOFYA HAPA

TAZAMA PICHA ZA UTENGENEZAJI WA FILAMU YA NGON0 HUKO KENYA ZILIVYOVUJA MTANDAONI NI SHIDAA....!!!!

- by Unknown · - 0 Comments

















Sunday, March 23, 2014

TAZAMA VIDEO NA PICHA YA HUYU DADA ALIYEAMUA KUTAFUTA WANAUME KWA KUWEKA VIDEO KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE AKIWA ANACHEZA UCH LAIVU,JIONEE HAPA

Sunday, March 23, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



 
Watu wanaposema dunia inaelekea mwisho mie sikatai, dada zetu sijui wamekuwaje. Wako radhi kujidhalilisha ili tu waingize siku, huyu hapa aamua kuweka video akiwa anafanya upuuzi mtandaoni ili kuwavuta wanaume. Ni hatari. KAMA UNA MIAKA 18 +++ UNARUHUSIWA KUTAZAMA HII VIDEO

****BOFYA HAPA KUTAZAMA VIDEO HIYOO********

JE UNAFAHAMU KUWA ASILIMIA 26.5 YA WANAWAKE HUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE ? SOMA ZAIDI HAPA

- by Unknown · - 0 Comments



 
Wakati idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile.

Mfumo wa uzazi unaharibika;
Watafiti wanabainisha kuwa kitendo hicho licha ya ukweli hakifai kwa vile kinaharibu mfumo wa uzazi, kina athari kubwa mno kwa mwanadamu, mojawapo ni ikiwemo uwezekano mkubwa wa wahusika kuambukizana virusi vya Ukimwi kwa vile hakuna vilainishi, hivyo kusababisha michubuko ambayo ndio njia kuu ya kuambukiza vijidudu hivyo.
Mtafiti Mwanasayansi, Irene Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania (NIMR) alitoa ripoti hiyo hivi karibuni hapa jijini Dar Es Salaam.
Mremi akiwa na jopo la watafiti kutoka NIMR anasema kuwa wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinachowapelekea kufanya ngon0 kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi na Kuogopa kupata Mimba.









Vilevile alizitaja sababu nyingine za wanawake kufanya mapenzi kwa njia hiyo ni kulinda usichana wao na baadhi ya mila na tamaduni za baadhi ya makabila.

Sampuli za utafiti
Utafiti huo ulikusanya sampuli kutoka katika mikoa ya Dar es salaam, hasa maeneo ya Kinondoni, Tanga, Makete na Siha.
Mremi anasema “Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani
Katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo pia wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo.
Imani potofu kwa wanaume
Wanaume waliohojiwa wamesema wanafanya kwa ajili ya kupata raha tu na imani ya kuwa huko hakuna maaambukizi ya VVU, kitu ambacho ni uongo, kwani huko ndiko kwenye kuchangia ukimwi kwa haraka zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote.

WEWE UNASEMAJE HAPA: KUPIGANA PICHA ZA UCHI KWA WAPENZI NI SAWA..?

- by Unknown · - 0 Comments

jionee hawa akili maji, mapenz gani haya kuringishia au kujiaibisha??


 
Siku hizi imekuwa ni swala la kawaida kukuta picha za uchi za wapenzi kwenye simu zao. ila tu balaa linakuja kutokea pale simu ile inapopotea. unakuta mtu analia kweli kweli kumbe analia kwa mengi sio kwamba tu eti kwasababu simu yake imepotea, kumbe ni kwasababu ya balaa lililo kuwepo kwenye simu hiyo. Chunga sana Kijana Picha za uch Nomaa..!!!


Friday, March 14, 2014

"MPENZI TUJENGE NYUMBA MBILI TUKIACHANA KILA MTU ACHUKUE YAKE"

Friday, March 14, 2014 - by Unknown · - 0 Comments






 
Chonde jamani baadhi ya kina mama/dada/wasichana mbona mna roho kama za ajabu hivi.

Unawezaje kumwambia mumeo tena wa ndoa maneno kama hayo? mweeee!

Maneno haya kaambiwa mwanaume na mkewe wa ndoa wiki moja iliyopita.

Kwa sasa jamaa hamuamini kabisa mkewe akihofia huenda huyu mwanamke atakuja kumuua kwa sababu ya mali.

Wakiwa sebuleni baada ya kula mwanamke-ghafla tu-akamwambia mumewe eti wajenge nyumba nyingine ya pili ili ikitokea huko mbeleni wakiachana basi kila mmoja awe na nyumba yake kwani hii nyumba wanayoishi sasa mwanaume alijenga kabla ya kumuoa yeye.

Mwanamke anahofia hatapata kitu ikitokea atakufa au wakiachana huko mbeleni.

Mshikaji kaja niambia afanyeje, maana anahofia huenda huyu mwanamke anaweza kuja kumtoa roho kama watakuja kuwa na mali.

Sababu ya hofu hii, mshikaji anafikiria hata kukiuza kiwanja chake kilichopo bunju alichokuwa anapanga kuanza ujenzi mwezi wa nane.

Hivi jamani mkeo akikwambia maneno kama haya, na ndo hivyo ushamuoa kwa ndoa ya kanisani utafanyaje?

Saturday, March 8, 2014

YALIYONIKUTA JANA SIWEZI RUDIA KUMPIGIA SIMU MWANAMKE YOYOTE USIKU

Saturday, March 8, 2014 - by Unknown · - 0 Comments




Yaliyonikuta jana siwezi rudia kumpigia simu mwanamke yoyote usiku

Kuna msichana nilikuwa namchukulia kama dada kwa sababu ni dada wa rafiki yangu na tumekuwa tukipigiana simu ata usiku yeye pia amekuwa akinitumia ujumbe ata usiku ikawa mazoea.

Jana usiku wa saa nne nikampigia simu nimwambie wikend njema,akapokea simu mwanaume anaongea kama watu wa Arusha.

Alivyosikia sauti ya kiume tu bila kuuliza mi ni nani alinifulumishia matusi ya nguoni sana na kuniambia yeye anaenjoy kifuani mimi naangaika kupigia simu wake za wengine.

Akanitukania mama yangu,na matusi mengine makali, nilijitahidi kumwambia siwez rudia kupiga simu sababu sikujua kama ana mwanaume.Na pia nikamwambia uyo ni kama dada yangu lakin hakunielewa .uyo rafik yangu amekuwa akiniambia yuko single hana mtu.

Siwezi rudia kumpigia simu rafik yangu yoyote wa kike usiku.mwisho itakuwa saa 12 jioni.Matusi niliyotukanwa ni makubwa.

Wednesday, February 26, 2014

MAPENZI YAPO WAPI SIKU HIZI? EMBU JIONEE MWENYWE HUYU ALIVYOPIGWA NA BOYFRIEND WAKE

Wednesday, February 26, 2014 - by Unknown · - 0 Comments





Her name is Gabriella. Says she's an aspiring Victoria Secret model and actress. Not sure where she's from though. Gabriella, via her instagram account @bambiiiii_ shared her recent sad experience of domestic violence from her boyfriend of eight months. She was badly beaten, thrown from a moving vehicle and dragged. She shared this photo of her injury above on her instagram page and wrote:

"This might be a little graphic but I just want to let everyone know that I am okay. I am a survivor of domestic violence with a boy I dated for 8 months. I really thought everything was fine but he constantly questioned me about cheating and flirting. Nonsense. I never looked at someone the way he looked at me. Thought I loved this boy. How can someone that 'loves' me do this to me? The scars on my chest are way worse and extend down to my right nipple, completely scarred. The skin on my shoulder has been completely skinned. And I have bruising on my rib cage, neck, and my muscles. I was kicked out of a moving vehicle, then beaten and dragged, as I blacked out and was left lying there in my own puddle of blood. Doctors said I could have died if not made it when I did. I am so blessed and beyond lucky to be alive and have so much support from friends, family, and strangers. As I try to recover I ask to please keep me in your prayers. I have to wear a neck brace for 3-4 weeks, an arm cast and I can barely walk for now. Thank you for all the love. I hope to be an inspiration to women and anyone involved in domestic violence.
She didn't say what happened to the guy that did this. See pics of Gabby before the brutal attack after the cut ...



Ads not by this site

Sunday, February 23, 2014

STORY; JINI MAHABA ANANIFANYA VIZURI KIASI SITAMANI MWANAUMEYOYOTE...NISAIDIENI PLEASE!!

Sunday, February 23, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



Mimi ni msichana wa miaka 29 , nina tatizo ambalo limenifanya mpaka sasa sijaolewa na umri unakwenda , nimekuwa nikisumbuliwa na jina mahaba huwa linanitokea usiku wa manane na kufanya mapenzi na mimi ..hali hii imekuwa kwa miaka saba sasa , na cha ajabu huwa tukifanya mapenzi katika hiyo hali huwa naridhika kabisa yaaani acha tu kiasi kwamba wavulana siwapendi hata kidogo na wala sisikii raha nikifanya nao kiasi naishia kuwaacha..nimejaribu kuwa na boyfriends wengi tu ila mapenzi hayaduma naishia kuwachukia .....Umri unaenda nahitaji kuolewa ila siwapendi wavulana nawachukia sana.....nifanyeje ili niwe msichana wa kawaida na hili jina mahaba litoke ?

SHARE NA WASHKAJ

Tuesday, February 11, 2014

WADADA MMEZIDI SASA...KHAAA

Tuesday, February 11, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



Kuna mdada nimeanzisha naye uhusiano kama wiki moja iliyopita. ni mtu mwenye ajira yake, mshahara analipwa. siku tumekutana kwa first date alikuja na rafiki yake tukanywa na kula aafu tukaagana. mkononi alikuwa na simu ya kama laki 5 hivi. Siku tatu baadaye nikampigia simu hapokei aafu akanitumia msg "simu imetumbukia kwenye maji hi yo siwezi kupokea". Jana kanambia anaomba mimsaidie ili apate mawasiliano, nikamwambia ntanunua ya elfu 50 ili awepo hewani anapotafuta nyingine. Cha ajabu ananambia anataka kama ile ile hivyo nimwongezee laki 2 nyingine ataongeza! Nikacheka kimya kimya huku nikishangilia kusave 50 yangu! Jamani mishahara yeti ina bajeti yake na so kwa ajili deny! na wengine tunataka kuwa na watu wa kudumu nao,mnatutisha na hizo harakati zenu za usakaji was hela! Tipelekane taratibu jamani, looh!

MAPENZI YAMENI TESA KWEL ..SOMA HAPA

- by Unknown · - 0 Comments



Miaka kumi na mbili iliyopita binti huyu pichani aitwaye Dear alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kijana mmoja wakiwa na umri wa miaka 18. Walipendana sana na kuapiana kuwa wasingesalitiana na kuja kuishi kwa pamoja kama mme na mke baada ya kuhitimu masomo yao. Binti akatoa wazo kwa kuwa yeye hana imani na wanaume, kwani wengi huwa na tabia za kusaliti mahusiano basi waape kwa kitumia Biblia na kofuli. Wazo hili kijana alilipokea kwa furaha na binti akafurahi sana kuona yule kijana amekubaliana nae kuwa ataapa kwa njia hiyo kama ishara ya kuwa hawatasalitiana na kupendana kwa dhati. Wakaondoka wakiwa na biblia na kofuli yao mpaka kwa mzee mmoja aliyeaminika kwa busara na kumweleza adhma yao naye kabla ya kuwakubalia ombi la kuwa shahidi wao akawauliza, " Je ni kweli mmeamua kuapa kwa kutumia Biblia na kofuli hii kuwa mnaufunga uhusiano wenu kuwa wenu tuu na mnakubali kuwa hamtasalitiana milele?" Wote wakajibu ndio. "Je mnatambua kuifunga kofuli hii na ufunguo kuniachia mimi na kofuli kwenda kuitupa mbali mjue kamwe hamtaifungua tena na matatakiwa kuwa pamoja kwa namna yoyote ile?" Wakasema tumeafikiana. Mzee akawaongoza kwa sala na kuwaomba waishi kama walivyokubaliana na kisha kuifunga ile kofuli. Wale vijana wakarudi majumbani kwao na kuendelea kuishi kwa furaha na amani huku kila mtu akiwa na kiu ya kuonyesha zaidi upendo kwa mwenzake. Miaka ikaenda wakahitimu chuo na kijana akapangiwa kazi kijijini sana na kukawa na matatizo ya usafiri na binti kwa kuwa alipangiwa mjini akawa kila mara akimtembelea kijana na kijana akienda mjini pia. Miaka ikaenda hatimaye taratibu wakaanza kupunguza mawasiliano baada ya kijana kuhamishiwa mbali zaidi na binti akabadili namba na kuanza mahusiano na boss wa kampuni yake na kisha wakaoana. Kijana akafanya kazi kule kijijini kwa kujituma na kuweka fedha ili aweze kuja mnunulia pete nzuri ya uchumba na harusi yao ije kufana na waishi vizuri bila kujua kuwa keshaolewa. Baada ya kujiandaa vya kutosha akaanza kuomba uhamisho ahamie mjini na alipofika mjini akapata habari za mkewe kuolewa na wamehama mji ule. Kijana aliumia sana na kisha akaamua kuondoka kwenda mbali kuanza maisha mapya akiwa na huzuni sana. Maisha ya furaha yakamwishia yule binti kwani hakupata mimba wala dalili na kila alipofanyiwa uchunguzi akaonekana yupo safi. Furaha na amani ikaanza kumpotea katika familia yake na baadae mambo kuwa mabaya zaidi kabla ya kuanza kutembelea kila kibanda kilichoandikwa mganga wa jadi akihisi kafanyiwa mchezo. Baada ya kwenda kwa njia hizo zote bila mafanikio akawa hana jinsi zaidi ya kuwa mtu wa kulia na kuhuzukika kila mara. Siku moja akiwa ndotoni akaonyeshwa Biblia na ile kofuli akakumbuka kuhusu nadhiri yake na yule kijana. Akaanza kumtafuta yule kijana amwombe msamaha na baadae akampata. Baada ya kumwambia kijana huku akimwomba msamaaa kijana akasema mimi sina tatizo ndio maana sikuoa ili nikuone na uje uniruhusu kwa kulingana na agano letu. Na kilichobaki hapa ni kumtafuta mzee kwani kofuli mimi nilimkabidhi mama yangu na analo kwani niliamini mama ambaye ni mwanamke kama wewe angenirekebisha kama nikikosea na ajue siri yangu na wewe ili azidi kunipa hekima na busara ya kuwa na wewe, je na wewe funguo ya akiba uliweka wapi? Binti akasema niliipoteza nilipoanza mahusiano na mme wangu. Wakaenda kwa mzee na kusikia kuwa alishafariki, kijana akampa kofuli bila ufunguo na kumwomba binti ampe ruhusa akaoe. Binti akakubali na kijana akaoa na sasa ana mke na watoto wawili lakini yule binti mpaka sasa kashaachika zaidi ya ndoa nne akikosa amani kwa kuvunja agano lake na kijana yule. Dada na kaka zangu kumbukeni 1. Kamwe usimwahidi mtu kumpa mambo makubwa maishani na hali wewe huna uwezo 2. Kamwe usimwambie mwanamke unampenda wakati humaanishi 3. Usitumie vitabu vya dini kufanikisha mipango yako ya ulaghai wa mapenzi 4. Kamwe usiwahusishe watu kukusaidia kushuhudia uongo ili kumpata mwanamke... Hawa ni viumbe ambao kwa asilimia kubwa sisi wanaume ndio huwafanya waumie na kila mwanamke katili,jambazi, kahaba na wengine lazima wana hadithi iliyowafanya kuwa hivyo na ilisababishwa na mwanaume 5. Usijaribu kufanya ahadi yoyote ili kumpata mwanamke ukiapa kwa jina la Mungu kama huamini Ukishindwa kutekeleza huishia kukosa furaha maishani mwako na kuwa kama dada yetu. Comment "Nawachukia wasaliti' kisha share na like page hii ya tabasamu na fuledi

Monday, February 10, 2014

NI SAHIHI KUMUOA X-GIRL WA RAFIKI YAKO WA KARIBU

Monday, February 10, 2014 - by Unknown · - 0 Comments



Nilitokea kumpenda sana binti mmoja lakini sikuwa na uwezo wa kuingia kwenye uhusiano naye kipindi hicho na najua alijua kuwa nampenda lakini kulikuwa na vizuizi flani flani.

Binti alikuwa anakaa hostel ya mabibo na nina rafiki yangu sana walikuwa wanasoma naye baadae akamtokea jamaa kagharamia sana wakawa kwenye uhusiano, na jamaa akaniambia lakini binti hakuniambia coz wote nilikuwa nawasiliana nao, sasa nilionana na binti kanisani na nikamuuliza kuwa najua wapo na uhusiano lakini akaniambia waliachana miezi 6 iliyopita, baadae sanaa siku za mbele nikamuuliza jamaa naye akasema ni kweli waliachana japo jamaa ameongea kinyonge na kwa wasiwasi (nahisi kwa sababu alikuwa anajua nampenda yule msichana na inaonekana yeye bado anampenda sana na yeye ndio alimwagwa). 

Basi mimi nikawa nawasiliana na yule binti na kwa sababu nilimpenda siku nyingi nikamwaga sera zangu na binti kanielewa na kwa sasa tumeshaanza rasmi uhusiano japo kimya kimya, kusema kweli natamani kumuoa huyu binti lakini pia namfikiria huyu rafiki yangu, naombeni mnishauri wana MMU, je ni sahihi kumuoa binti aliyeachana na rafiki yako wa karibu?

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI