Sunday, March 23, 2014
WEWE UNASEMAJE HAPA: KUPIGANA PICHA ZA UCHI KWA WAPENZI NI SAWA..?
Sunday, March 23, 2014 by Unknown
jionee hawa akili maji, mapenz gani haya kuringishia au kujiaibisha??
Siku hizi imekuwa ni swala la kawaida kukuta picha za uchi za wapenzi kwenye simu zao. ila tu balaa linakuja kutokea pale simu ile inapopotea. unakuta mtu analia kweli kweli kumbe analia kwa mengi sio kwamba tu eti kwasababu simu yake imepotea, kumbe ni kwasababu ya balaa lililo kuwepo kwenye simu hiyo. Chunga sana Kijana Picha za uch Nomaa..!!!

Tags:
mapenzi


This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “WEWE UNASEMAJE HAPA: KUPIGANA PICHA ZA UCHI KWA WAPENZI NI SAWA..?”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.