Tuesday, May 7, 2013

MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA MWONGOSI KUFIKISHWA MAHAKAMANI MAY 9



Huyu ndie mtuhumiwa wa mauawaji ya Mwangosi (kulia)
.............................................................................


MTUHUMIWA wa mauwaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha Chanel Ten mkoani Iringa marehemu Daudi Mwangosi askari wa FFU mwenye namba G2573 Pasificus Cleophace Simoni (23) ambae  wiki  mbili  zilizopita alikwama kufikishwa mahakamani kutokana  kuwa ni mgonjwa  sasa  kufikishwa tena mahakamani May 9
Chanzo: Francis Godwin

Tags:

0 Responses to “MTUHUMIWA WA MAUWAJI YA MWONGOSI KUFIKISHWA MAHAKAMANI MAY 9 ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI