Tuesday, May 7, 2013

Naombeni ushaur wenu.Mm n msichana wa miaka20




Naombeni ushaur
wenu.Mm n msichana
wa miaka20 nnasoma
nje ya nchi nna mpenz
wangu tuna miaka
miwili sasa tuko
pamoja.Ananihud umia
kwa mahtaj yangu na
baadh ya v2 chuon.Kwa
bahat mbaya
nimetokea kumpenda
kijana mwingine
kwenye
facebook.Nataman
kuachana na
mpenz.wangu ila naona
huruna koz
ananihudimia na
amensaidia
meng.Nataman kuwa
na huyo kijana ila
naogopa akiwa na tabia
za ajabu au akinisaliti.
Kijana nampenda na
mpenz wangu
namuonea huruma,
naomba ushaur
nifanyaje?
Jema

Tags:

0 Responses to “Naombeni ushaur wenu.Mm n msichana wa miaka20”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI