Home
» celebrities
» Tiketi za sherehe za kuadhimisha miaka 13 ya muziki wa Mwanamuziki Mahiri Nchini Lady Jaydee Sasa Zipo Mitaani
Tuesday, May 7, 2013
Tiketi za sherehe za kuadhimisha miaka 13 ya muziki wa Mwanamuziki Mahiri Nchini Lady Jaydee Sasa Zipo Mitaani
Tuesday, May 7, 2013 by Unknown

Tiketi za sherehe za kuadhimisha miaka 13 ya muziki wa Lady Jaydee zimeshaanza kuuzwa mtaani na huo hapo juu na chini ndio mfano wa jinsi zilivyo ambapo ya juu ni ile ya VIP itakayokuwezesha kupata chakula, nakala ya CD pamoja na huduma maalum ya kinywaji cha kuanzia
Hii hapa chini ni ya kawaida itakayokuwezesha kushiriki onesho, na kushuhudia burudani lukuki zitakazoongizwa na Profesa Jay, TID, Matonya, Grace Matata pamoja na Lady Jaydee mwenyewe na Machozi Band itaonekana jukwaani live siku hiyo.
Tiketi zinapatikaka Shear Illusions-Mlimani City, BM BarberShops-Kinondoni, City Sports Lounge-City Centre, American Nails-Kinondoni, Nyumbani Lounge-Tranic Plaza, na katika Bar za Samaki samaki
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “Tiketi za sherehe za kuadhimisha miaka 13 ya muziki wa Mwanamuziki Mahiri Nchini Lady Jaydee Sasa Zipo Mitaani”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.