Saturday, June 29, 2013

ANGALIA PICHA RAIS BARACK OBAMA ALIVYOPOKELEWA NA WAANDAMANAJI AFRIKA KUSINI.



Akiwa na mwenyeji wake Rais Jacob Zuma kulia kwao ni wake zao. 
Waandamanaji wakiwa tayali kuanza maandamano ya Amani. 
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA KATIKA VIUNGA VYA MKI WA CAPE TOWN.

Moja la bango la waandamanaji likiwa chini. 

Kama unavyojionea mwenyewe. 


kazi kweli kweli. 

Wakiyaandaa mabango . 

Uku ikiwa wanakumbuka kwamba kiongozi wao wa kwanza Mweusi Mzee Nelson Mandela yuko Hospitali akiendelea kupata matibabu kutokana na hali yake kuwa mbaya Baadhi ya wananchi wa Afrika kusini walijitokeza nje ya ukumbi wa Bunge mjini Cape Town kuandamana kupinga ziara ya Rais wa Marekeni Obama,uku wakiwa na Mabango yenye kuonyesha ujumbe mbalimbali kwa rais huyo

Tags:

0 Responses to “ANGALIA PICHA RAIS BARACK OBAMA ALIVYOPOKELEWA NA WAANDAMANAJI AFRIKA KUSINI.”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI