Saturday, June 29, 2013
ANGALIA PICHA RAIS BARACK OBAMA ALIVYOPOKELEWA NA WAANDAMANAJI AFRIKA KUSINI.
Saturday, June 29, 2013 by Unknown
Akiwa na mwenyeji wake Rais Jacob Zuma kulia kwao ni wake zao.
Waandamanaji wakiwa tayali kuanza maandamano ya Amani.
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA KATIKA VIUNGA VYA MKI WA CAPE TOWN.
Moja la bango la waandamanaji likiwa chini.
Kama unavyojionea mwenyewe.
kazi kweli kweli.
Wakiyaandaa mabango .
Uku ikiwa wanakumbuka kwamba kiongozi wao wa kwanza Mweusi Mzee Nelson Mandela yuko Hospitali akiendelea kupata matibabu kutokana na hali yake kuwa mbaya Baadhi ya wananchi wa Afrika kusini walijitokeza nje ya ukumbi wa Bunge mjini Cape Town kuandamana kupinga ziara ya Rais wa Marekeni Obama,uku wakiwa na Mabango yenye kuonyesha ujumbe mbalimbali kwa rais huyo
Tags:
kimataifa

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







0 Responses to “ANGALIA PICHA RAIS BARACK OBAMA ALIVYOPOKELEWA NA WAANDAMANAJI AFRIKA KUSINI.”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.