Sunday, June 30, 2013

Kwa nini Nyerere asingemwaga chozi kwa Mandela hospitalini?



julius-nyerere-nelson-mandela
KAMA angekuwa hai hadi wakati huu ambao Komredi, Nelson Mandela, anapigania maisha yake hospitalini, bila shaka, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, asingeweza kumlilia rafiki yake huyo wa dhati, akimwaga chozi la kukata tamaa kwamba hakuna kitakachoweza kusonga mbele tena. Asingeweza kumwaga chozi kama ilivyo kwa..Read More

Tags:

0 Responses to “Kwa nini Nyerere asingemwaga chozi kwa Mandela hospitalini? ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI