Sunday, June 30, 2013
PICHA ZA SHOW YA DIAMOND ALIYOFANYIKA HUKO TABORA
Sunday, June 30, 2013 by Unknown

Msanii maarufu nchini Diamond hapa akiwa katika Show yake iliyofanyika ukumbi wa Frankman Hotel mjini Tabora.
Mapenzi sasa basi yana-run sana
Diamond wakati akiamua kucheza na kuonesha namna anavyoweza kujiachia katika Jukwaa la ukumbi wa Frankman Hotel.
Hii ilikuwa lazima kwa wapenzi wa muziki wa BongoFleva kuchukua picha za msanii nguli Diamond kwa kutumia camera za simu.
Kazi na dawa
piga keleleee...!
Wadau mbalimbali katika show
wadau hao waliotokelezea kisafi zaidi
PICHA NA APEXBNEWS.
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “PICHA ZA SHOW YA DIAMOND ALIYOFANYIKA HUKO TABORA ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.