Wednesday, June 12, 2013

Manchester City wamepatwa na msiba mzito


Manchester City wamepatwa na msiba mzito, baada ya Paka wao anayejulikana kama 'Wimblydon' kufariki dunia kutokana na uzee.

Huyu paka ana sifa za kipekee, aliwahi kumletea Kevin Keegan panya aliyekufa ofisini kwake, na inaaminika ndiye kiumbe hai wa kwanza kumpokea Mario Balotelli alipojiunga na timu hiyo akitokea Inter Milan.
Mario Balotelli na Paka Wimblydon


Paka huyo 'alijiunga' na staff ya Citizen mwaka 1999, na inasemekana ameshakula panya zaidi ya 200 pamoja na lita 100 za maziwa.

A Blues statement said: “It is with great sadness that we announce that the Carrington Club Cat Wimblydon passed away this afternoon RIPWimbly.”
Wimblydon, Manchester City Cat, 1999 (est) – June 11, 2013

CREDIT -SHAFIIDAUDA

Tags:

0 Responses to “Manchester City wamepatwa na msiba mzito”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI