Wednesday, June 12, 2013
Manchester City wamepatwa na msiba mzito
Wednesday, June 12, 2013 by Unknown
Manchester City wamepatwa na msiba mzito, baada ya Paka wao anayejulikana kama 'Wimblydon' kufariki dunia kutokana na uzee.
Huyu paka ana sifa za kipekee, aliwahi kumletea Kevin Keegan panya aliyekufa ofisini kwake, na inaaminika ndiye kiumbe hai wa kwanza kumpokea Mario Balotelli alipojiunga na timu hiyo akitokea Inter Milan.

Mario Balotelli na Paka Wimblydon
Paka huyo 'alijiunga' na staff ya Citizen mwaka 1999, na inasemekana ameshakula panya zaidi ya 200 pamoja na lita 100 za maziwa.
A Blues statement said: “It is with great sadness that we announce that the Carrington Club Cat Wimblydon passed away this afternoon RIPWimbly.”
Wimblydon, Manchester City Cat, 1999 (est) – June 11, 2013
CREDIT -SHAFIIDAUDA
Tags:
michezo

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “Manchester City wamepatwa na msiba mzito”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.