Sunday, June 16, 2013

Watanzania Tunaelekea Wapi-Picha Za Nassari Akiwa Hoi Baada Ya Kuumizwa Vibaya



Hali si shwari katika uchaguzi mdogo wa Makuyuni, CCM wamevamia vituo vya kura, mawakala wa CHADEMA wamepigwa vibaya sana.

Kamanda Nassari naye kaumizwa vibaya sana. Amelazwa Hospitali ya Waseliani


Jamani watanzania tunaelekea wapi kwa hali hii?

Ee Mungu utusaidie sisi wanao!


TOA MAONI YAKO HAPA

Tags: ,

0 Responses to “Watanzania Tunaelekea Wapi-Picha Za Nassari Akiwa Hoi Baada Ya Kuumizwa Vibaya”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI