Sunday, June 16, 2013

Dhana Ya Wanawake Wasagaji Kuenjoy Mapenzi Na Wasichana Wenzao Kuliko Na Wanaume


Unapo wauliza swali kati ya mwanamke na mwanaume ni nani anayeweza kumridhisha vizuri mwanamke kimapenzi.( Sexual Satisfaction ). Hoja yao ya msingi huwa ni " MIMI NI MWANAMKE, NINAJIJUA VIZURI, NINAJUA NIKISHIKWA NA KUKUNWA SEHEMU GANI NINAFIKA KILELENI, SO NI NIKIWA NA MWANAMKE MWENZANGU NAJUA NIMSHIKE WAPI , NIMKUNE WAPI, NIMNYONYE WAPI AND ALL THAT, SO NIKIWA NA MWANAMKE MWENZANGU NINA UWEZO MKUBWA SANA WA KUMRIDHISHA KINGONO KULIKO AMBAVYO MWANAUME ANAWEZA....


Dah huwa ninakuwa mpole sana ninapo kutana na hoja hii, kwa sababu pamoja na kwamba sitaki kukubaliana na suala hilo but nikithink critically naona kama linamake sense kwa namna moja au nyingine. Wadau mnasemaje kuhusu hili? Kuna hoja yoyote ambayo inaweza ku argue against this notion?TOA MAONI YAKO HAPA

Tags: ,

0 Responses to “Dhana Ya Wanawake Wasagaji Kuenjoy Mapenzi Na Wasichana Wenzao Kuliko Na Wanaume”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI