Sunday, June 16, 2013

Zijue Dalili Kuu Za Mwanamke Anapotaka Kufika Kileleni



Siku zote katika mapenzi hakuna kitu kizuri kama
kuridhishana hususan katika tendo la ndoa, ukweli uliopo ni rahisi sana kwa
mwanaume kuwahi kufika kileleni kuliko mwanamke hii inatokana na sababu nyingi
kwa upande wa mwanaume suala la kuwahi kumaliza mapema linaweza kusababishwa na
tatizo la nguvu za kiume na kukurupuka katika tendo kwa maana ya kuwahi
kumuingilia mwanamke bila kufanya Romans/maandalizi ya kwanza kabla ya tendo na
kwa upande wa wanawake suala la kuchelewa kufika kileleni ni asili yao kutokana
na jinsi walivyoumbwa ila napenda ifahamike kuwa pamoja na wanawake kuumbwa
hivi ila

unauwezo wa kumfanya afike kileleni mapema kwa kuzingatia maandalizi
ya awali kabla ya tendo inabidi utumie muda mwingi katika kumuandaa mpenzi wako
kwa kumtomasa sehemu husika ili iwe njia rahisi ya wewe kumridhisha na kumfanya
afike katika kilele cha raha.

Tags:

0 Responses to “Zijue Dalili Kuu Za Mwanamke Anapotaka Kufika Kileleni ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI