Tuesday, July 2, 2013
NJIA RAHISI KABISA KWA MWANAMKE KUWAHI KUFIKA KILELENI KUMZIDI HATA MWANAMME.
Tuesday, July 2, 2013 by Unknown
Kwa Mume suala la kufika kileleni halina utundu wala ufundi saana kama atakuwa mzima na "Jogoo anapanda Mtungi" Tatizo linakuja kwa Wake zetu,
vipi na wao watafika kileleni na kufurahia raha ya mapenzi na unyumba! Hili linawezekana kwa kuzingatitia machache ntayoyasema. Kwanza wote wawili, mume na mke muwe tayari katika kuhakikisha mnafikishana kileleni. Mume nakuomba ndo uwe mtendaji mkuu, usifike tu na kuanza kumpanda mkeo kama kuku, hakikisha unamchezea kwa kumgusa, kumtomasa au kumnyonya katika zile sehemu zinazomtia hamu au nyege zaidi. Utafiti unaonesha kwamba endapo mume na mke watakuwa wanabusia (Denda la Mahaba) kwa angalau dakika kumi kabla ya kuanza mapenzi na huku wakiendelea kuchezeana sehemu nyingine katika miili yao kunakuwa na uwezekano mkubwa wa mke kutangulia kufika kileleni kabla ya mwanaume. Pili mume usiwe na haraka ya kuanza kumuingilia mkeo, hakikisha ushamchezea
vya kutosha kutoka shingoni mpaka kwenye nyayo za miguu, kidole gumba cha mguu hadi nywele za kisogoni, na usiwe na papara wala kufanya haya kwa kutumia nguvu sana. Sasa hamia kifuani, wala usiyavute au kuyaminya kwa nguvu matiti, chezea chuchu kwa upole kama unazifinya hivi, lisugue ziwa upande wa chini kama unalipandisha juu, zinyonye chuchu kama unazing'ata na kuzipuliza kwa mbali, fanya kama unalimeza lote, halafu liteme bila kulibana na kisha mate mate yako yatumie kuzisugua chuchu! fanya huku vidole vyako vikianza kuelekea sikioni.
Katika masikio wala usiutumbukize ulimi wote ukamuumiza au ukatoka na mengine, yalambe masikio kwa mbali, fanya kama una mno'goneza jambo huku ukimpulizia hewa ya moto kwa mbali (hmmm!) kisha mwambie unampenda, toka moyoni! ingiza kidole cha shahada au cha mwisho kwa upole na uwe unakipitisha sehemu ya juu na kwa ndani bila kukizamisha saana!
Sasa shusha kidole anza kuelekea ikulu, huku ndo picha linataka kuanza...............
Sasa hapa mume unatakiwa uwe makini, mpole na usitumie jazba au uharaka wa
kutaka kuingiza kidole kunako "nanhino" maana utaweza muumiza, mshtua au
kumchobua kabisa.Kabla ya kuingiza kidole unaanza kwa kugusa kwa upole na
kuchezea chezea "Kinembe" (mtaniwia radhi kiswahili kigumu) wengine huuita
"kiharage" kizungu ni clitoris. Muundo wa kiungo hiki hautaki kusuguliwa kwa
kutumia nguvu, hivyo chonde chonde usije pandwa na mdadi na ukaanza kumsugua
mkeo kama unasugua goti linalowasha. Kama inawezekana ingiza kidole katika uke
kidogo ili uchukue maji maji laini yanayopatikana humu na kidole hicho ndo
ukitumie kuchezea chezea sehemu hiyo
Tags:
mapenzi

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “NJIA RAHISI KABISA KWA MWANAMKE KUWAHI KUFIKA KILELENI KUMZIDI HATA MWANAMME. ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.