Tuesday, July 2, 2013
WAKAKA..HATA KAMA HUJAMPENDA MDADA AKIKUTAKA MTIMIZIE
Tuesday, July 2, 2013 by Unknown
Mie Home Arusha, Baba mngoni, mama Mchagga.....kwa sasa nipo dar
Kuna mkaka anafanya kazi jirani na jengo letu, tunashea kantini.Ni mzuri na mpole sana
Sikutaka kumuliza kama ana mke- bcs siitaji ndoa naye bali kutoka naye at least twice.Nikafanikiwa kufahamiana naye na tukaanza kuchati.
Nikamwomba juzi jmosi- tutoke wote akanijibu ameshamaliza mshahara coz wanapokea date 18, nikamjibu usjali mie nitakuwa mwenyeji wako.
tukakubaliana kijihoteli anachotaka, saa kumi nipo chumban nampigia anatoa positive response, saa tatu usiku ananletea swaga za kishamba eti mkee wangu karudi, mara sjawahi kumdanganya mke wangu atanishtukia
Jana anantumia sms eti samahan aliniona kama malaya kwa sababu ya mimi kujipeleka kwake
-NB;! WAKAKA NAWAOMBA HATA KAMA HUJAMTAKA MDADA kwa kuwa huyo mdada ndiye aliyetaka gemu basi mpatie haki yake.Hujaombwa uoe ila gemu tu tena once kinachokukatalisha ni nini kama sio roho mbaya??
Source:Jamii ForumsTOA MAONI YAKO HAPA
Tags:
mapenzi ,
udaku

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “WAKAKA..HATA KAMA HUJAMPENDA MDADA AKIKUTAKA MTIMIZIE ”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.