Monday, August 5, 2013

"NINA JINSIA MBILI, NATAFUTA MPENZI WA JINSIA YOYOTE"...OMBI LA MDAU WETU






Dunia ina mengi....Dawa ya tatizo ni kukubaliana nalo.

Huyu ni jamaa mwenye jinsia mbili na kwa mujibu wa maelezo yake anadai kuwa jinsia zote mbili ziko poa (Active)..

Kinachofurahisha zaidi ni kwamba jamaa kakubaliana na tatizo...Haoni kama ni shida na anaisha maisha ya kawaida kabisa...

Cha kufurahisha zaidi ni kwamba, jamaa katangaza kusaka mchumba wa jinsia yoyote..

Kama upo tayari, basi funguka kabla hujawahiwa na wenzako.

Tags: ,

0 Responses to “"NINA JINSIA MBILI, NATAFUTA MPENZI WA JINSIA YOYOTE"...OMBI LA MDAU WETU ”

Post a Comment

Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.

HHHHHHHHHHHH

Subscribe

Kwa habari na Taarifa weka Email yako Hapa tutakutumia

© 2014 FUNUNU HABARI.. All rights reserved.
Designed by FUNUNU HABARI