Sunday, September 22, 2013
UJUMBE MAALUM KWA WANAOTUMIA FACEBOOK NA FANS WETU PIA.
Sunday, September 22, 2013 by Unknown
TUMEPOKEA MSG KUTOKA KWA MTU ANAYEJIFANYA NI MSANII NGULI ( Wema Abraham Sepetu ) Akidai Global-Publisher kuna shindano walilo anzisha, na akituomba tu mpe kura zetu ili ashinde shindano la facebook team Page,baada ya kufanya uchunguzi wakina tumegundua ni (Hackers) na kUNA LINK ambayo ukifungua ina kudirect kwenye facebook login na ukisha Log hapo Automatical inakuwa detected Kwa system zaO na kuweza kupata taarifa zako zote pia wanatapeli watu njia ya mitandao wakidai kuanzia vyama vya kukopesha watu pesa na kuwalipa kwa njia ya Tigopesa,
JAMANI SIO WEMA SEPETU NA USIJARIBU KUWASADIA LOLOTE
NA Hii ni Account nayotumia Facebook akijifanya Wema Sepetu Bofya uone Wall yake anavyotapeli watu Akijifanya kutoa Mpoko kama Saccos -https://www.facebook.com/wema.sepetu.946
:: SOMA HAPA CHINI NI MOJA YA UJUMBE ALIOTUTUMIA NA LINK::
Wema Abraham Sepetu
Hi, please nakuomba kwa hisani yako na upendo wako support kazi yangu kuna shindano limeandaliwa na Global Publisher katika facebook team page naomba ukaweke Like yako katika picha yangu ili niweze kushinda. Naomba kura yako, unavyoweka Like ndio kura yako kwangu! Bofya hapa www.facebook-team.wapka.mobi
KWA HISANI YA FUNUNU HABARI ADMIN.
Tags:
celebrities

This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 Responses to “UJUMBE MAALUM KWA WANAOTUMIA FACEBOOK NA FANS WETU PIA.”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.