Saturday, September 14, 2013
NIMEGUNDUA MUME WANGU NA MIMI NI NDUGU WA DAMU KABISA
Saturday, September 14, 2013 by Unknown
Admin Hide my Name ....Mimi na mume wangu tumefunga harusi siku si nyingi , hapa tulipo tumechanganyikiwa as tumegundua sisi ni ndugu .....Story nzima ipo hivi ..mimi nimelelewa na mama angu tu baba angu alinikataa nikiwa mdogo na akahama nchi kwenda kuishi Marekani ...so mimi na mama hatukuwa na mawasiliano naye kabisa mpaka naolewa hata baba hakuusika katika shughuli...Basi juzi kati amerudi Tanzania na akakutana na mama angu na mama akamwambia nishaolewa ...so akataka kuja kunisalimia mimi na mume wangu ...alivyofika tu nyumbani kwetu mume wangu
Tags:
mapenzi
This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “NIMEGUNDUA MUME WANGU NA MIMI NI NDUGU WA DAMU KABISA”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.