Saturday, September 14, 2013
WANAWAKE KUMBUKENI NA "IKULU" ZENU
Saturday, September 14, 2013 by Unknown
Kujiremba jirembeni na uzuri kuweni nao. Mashauzi tuleteeni na kutusumbua ongezeni. Saluni msikose na wa natural wasiishe. Vaeni vizuri na mtembee/muongee kwa maringo.Lakini msizisahau ikulu zenu. Wengi wenu huzisahau sana sehemu zao.
Inafikia wakati zinatoa harufu kama kafa panya au umezibua choo. Uzuri wa mwanamke ni k yake. Si vinginevyo mabinti nyinyi. Ziosheni ikulu zenu mara kwa mara hasa mnapokwenda haja au kufanya mapenzi.Msiingize chochote huko zaidi ya Abdala kichwawazi. Kinyume chake ni majanga.Na mtaachwa hadi mbadilike.
Nimewaacha watatu kwa sababu hiyo.Siwezi kukaa na mchafu tena wa sehemu muhimu kwake na kwangu. Afadhali leo nimewaambieni nami nitapata utulivu moyoni mwangu. Ujumbe huu ni kwa wanawake wote
Source:JF
Tags:
udaku
This post was written by: Author Name
Author description goes here. Author description goes here. Follow him on Twitter
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Related Articles
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Responses to “WANAWAKE KUMBUKENI NA "IKULU" ZENU”
Post a Comment
Ila tafadhali sana angalia usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu.